Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karbuni kilombero kwa wakulima haswa!!!!!!!!!!!!!
Karbuni kilombero kwa wakulima haswa!!!!!!!!!!!!!
Ni check 0673 90 97 69
Ni check ndo lugha gani hiyoooo? kweli ww ni mtaalam wa kilimo, au mpiga debe?
FOREVER LIVING
COMPANY
Je!! Kuna mtu unamfahamu
1. Anatafutampango kazi utakaomwezesha kustaafu miaka 5-10 akiwa na kipato maradufu?
2. Anatafuta njia ya kuongeza kipato cha ziada?
3. Ni mama na ungependa kukaa nyumbani na kulea watoto huku ukitengeneza kipato kizuri?
4. Ni mwanachuo unayetafuta njia mbadala ya kutafuta kipato kizuri?
Tuwasiliane; 0768 577 654
email; izackmanase@gmail
.com
fb : www.facebook.com//
Izack Manase
SAMBAZA UJUMBE HUU KWA WALENGWA UNAOWAFAHAMU. UWAOKOE NA UMASKINI ILI WATIMIZE NDOTO ZAO.
wenzangu mmeshakuwa added kwenye ilo group? mana mie nimeomba ni mwezi sasa hakuna majibu..
Hayo matiki ya shs 500 wapi huko? njoo ufaidike zenji (zingatia gharama za usafiri) huku kipande cha unene wa nchi mbili shs 500 ,a good sized one run to2500-3500 na kuna kipindi yana fika mpaka 6000 moja.Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?
Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?
Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.