ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Namjua yule mama tall mkuu.Mbona hii inapatikana solo la kitu, k koo ,mbezi na hata mbagala zakhem kabla hujafika rangi tatu.nje ya super makrket ya kivon Kuna mama anauza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjua yule mama tall mkuu.Mbona hii inapatikana solo la kitu, k koo ,mbezi na hata mbagala zakhem kabla hujafika rangi tatu.nje ya super makrket ya kivon Kuna mama anauza
Ulivyosikia kilo 25000 nakuona ulimi ulivyokutoka njeMbegu inapatikana wapi mkuu?
Alafu yuko humble sana hata mimi nazinunua sana pale japo zina msimuNamjua yule mama tall mkuu.
Inanikumbusha biashara ya hela ya mjerumani Rupia. Wazalishsji wa mbegu wako kazini
Kweli kabisa zinapatikana kwa yule mama pale zakiem mbagala mbele ya supamarket.Asparagus?
Hata mm namfahamu huyu maza pale zakhem. Pia huuza vitu adimu adimu sana, kama broccoli, hoho za njano, maboga flan hivi na vitu vingine. Hauzag mchicha wala spinach.Alafu yuko humble sana hata mimi nazinunua sana pale japo zina msimu
KitropicZinamea vizuri kwenye uoto wa asili gani!
Sio kweli! Hii tumekula sana..nenda maeneo ya Karagwe uliza "emisombwa" utaambiwa na kuoneshwa.Inaota sana kwenye vichaka na wakichoma vichaka(empiira) vikianza kuota nayo inaota na ndo muda wa kuivuna na kupika.upishi wake unachukua vile vichanga sana unavifunga kwenye jani la mgomba unaweka kwenye chungu pamoja na ndizi unapika ukipakua unakula kama mboga za majani pamoja na ndizi.Hii mboga kwa sisi wabongo ambao hatujatembea sio rahisi kabisa kuijua, Ila kwa walio tembea huko mbele watakuwa walisha kutana nayo.
We umelima? Au unaenda kuchukua wapiNipe shs 9000 kwa kilo nikupe za kumwaga
We umelima? Au unaenda kuchukua wapi
Unanunua wapi wakat jamaa anasema zinaagizwa toka kwa madibaHapana sijalima nanunua
Unanunua wapi wakat jamaa anasema zinaagizwa toka kwa madiba
Wewe soko lako kubwa hapa Tz ni akina nani?Kama anataka aagize aache siasa
Wewe soko lako kubwa hapa Tz ni akina nani?
Na upo dar or mkoani?
Na mleta mada mwenyewe i think yupo arushaNiko Arusha
Sio kweli! Hii tumekula sana..nenda maeneo ya Karagwe uliza "emisombwa" utaambiwa na kuoneshwa.Inaota sana kwenye vichaka na wakichoma vichaka(empiira) vikianza kuota nayo inaota na ndo muda wa kuivuna na kupika.upishi wake unachukua vile vichanga sana unavifunga kwenye jani la mgomba unaweka kwenye chungu pamoja na ndizi unapika ukipakua unakula kama mboga za majani pamoja na ndizi.