Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afathali nimepata njia ya kulima katikati ya mji ambako hakuna mashamba
Kwanini isiwezakane kama utaweka udongo juu ?, Watu wanalima mboga mpaka magorofani, kuweka udongo juu itatosha mboga nyingi hazina mizizi mirefu, cha kufanya tengeneza raised beds kama eneo lako ni dogo this is the way to go:-
kwa maelezo zaidi soma hapa How To Make a Raised Bed Garden
na mfano wa picha;
![]()
![]()
kwahio mkuu hata gorofani au kwenye mifuko au mapipa ukiyakata nusu unaweza ukalima mboga
kabisa ndugu..enzi nikiwa nimepanga nilijaza gunia udongo na kulitoboatoboa kwa pembeni kama matundu 15 pamoja na juu..nikasia mbegu zangu za mnafu kwenye beseni..zilivyochipua nikazihamishia kwenye gunia zingine zikabaki kwenye beseni nikaweka pembeni ya mlango wangu..wakati wengine wameweka ndoo.za.maua mimi maua yangu yalikua mnafu..ulistawi na ukachipua kwa wingi na nilikula sana mboga ndugu..hata ukiwa ghorofani mboga unakula tu..