Ha!ha! Bro unachekesha kweli na hujaijua tu fursa iliyopo kwenye mchaichai.Kifupi soko la mchaichai kwa Dar tu halitoshelez mchaichai unatafutwa sanabado hujapata chance ya kuupeleka nje ya nchi haswa Italy.Kifupi mafuta ya mchaichai ni dili sana.mafuta ya mchaichai yanatumika kutengenezea perfume,kiungo muhimu sana,pia unatibu magonjwa mbalimbali ikiwemo kansa ya damu,pia kama kinywaji
Ni zao ambalo mtu akiwa siriaz linakupa pesa ya kutosha,kuupanda mpaka kuuvuna ni miez minne tu,baada ya hapo unakua unavuna mara kwa mara kwa mwaka unavuna mara nne.Kwa mwaka jana kilo 1 ya mchai chai ilikua inauzwa 3000 kwa ufupi ukiwa na ekari moja kwa kila mchumo au uvunaji utapata wastani wa milion saba kulingana na bei ya soko yaweza ikazidi ukiweka gharama za shamba na uvunaji na usafiri mara mwaka faida ipo kubwa sana.Kwa Bongo hakuna kiwanda hata hao utakaowauzia wanapeleka Zanzibar ndo kuna kiwanda.Kuna jamaa wanadeal na hiki kilimo wanajiita Mtandao wa kijani kibichi wapo KimaraTemboni waone watakupa ushauri,mbegu na kila kitu.
Kifupi Watanzania tukiamka na kuacha kupiga blabla hiki kilimo kina manufaa sana pia waweza kuona kuajiriwa ni utumwa masoko mengi sana .cheki hii link . Nime attach hii inahusu market research ya mchai mchai na masoko yake