pascalgwami
New Member
- Jun 10, 2017
- 4
- 3
Ahsante kaka ndo nahitaj nyie wenyeji mnipe direction nianzie wapi mana 75% ya success hua ipo kwenye planning.Karibu kwenye kilimo
Washtue bas mkuu na mm nawasubiri, hii mada iko vizuriHata mi nimetulia nawasubili wataalam wanipe elimu....najua soon watafika
Njoo bagamoyo kuna aridhi nzuri ya MUHOGO,NANASI,MAHINDI NA MIFUGO PIA KAMA MBUZI KUKU. Patakufaa tu.kwa hapa fukayosi kwa sasa bei ya shamba iko juu heka 1 ni 2 Million. Ila kwa kiwangwa heka ni laki 7 tu. Maongezi wanakubali pia. Mm majuzi nimechukua pale fukayosi heka zng mbili tu.kwajili ya project zangu kama hz.Habari wataalam wa kilimo, leo nimepata wazo la kuanzisha kilimo cha Muhogo na viazi.
Kwa kuzingatia masoko na gharama za uendeshaji, nimeona nichague eneo zuri lililopo karibu na Dar ninapoishi.
Kwa upande wa kusini maeneo ambayo yana nafasi ni Kuanzia Mkuranga, kibiti na rufiji ila tatizo hali si shwari kwa ajili ya kuanzisha shughuli za kiuchumi kwa sasa.
Je, eneo gani la PWANI la karibu zaidi upande wa kaskazini, mashariki au magharibi ambalo naweza kununua shamba kwa bei nafuu na ni zuri kwa kilimo cha MUHOGO na viazi?
Naomba nisaidie mawasiliano yako mkuu.Njoo bagamoyo kuna aridhi nzuri ya MUHOGO,NANASI,MAHINDI NA MIFUGO PIA KAMA MBUZI KUKU. Patakufaa tu.kwa hapa fukayosi kwa sasa bei ya shamba iko juu heka 1 ni 2 Million. Ila kwa kiwangwa heka ni laki 7 tu. Maongezi wanakubali pia. Mm majuzi nimechukua pale fukayosi heka zng mbili tu.kwajili ya project zangu kama hz.
Nasubiri jibu nami nataka kulima, huku Mtwara nilisikia tenga moja linauzwa kwa Tsh. 20,000/- hadi 30,000/-. Nitafanya utafiti zaidi ili nipate bei halisi.Bei ya muhogo kwenyo soko ipoje?
Tenga ndio kipimo gani hicho mkuu?Nasubiri jibu nami nataka kulima, huku Mtwara nilisikia tenga moja linauzwa kwa Tsh. 20,000/- hadi 30,000/-. Nitafanya utafiti zaidi ili nipate bei halisi.
Kuna wanajeshi wapo huku kibiti,wanawawinda nguruwe hatari kwa chakula, hadi wameadimika na mashamba yetu yanapona angalau.Hao nguruwe pori hawaliwi mkuu?
Good newskuna wanajeshi wapo huku kibiti,wanawawinda nguruwe hatari kwa chakula,hadi wameadimika na mashamba yetu yanapona angalau
Mkuu naona umezungumza saula kusindika mihogo apo mm nimkulima natakujua soko lipo vipi hasa upande wa bei na pia ni aina gani ya mihogo unanunua.Nimekupata kiongozi tupo pamoja!