Kilimo cha miti Mufindi.


Asante kwa kuchangia,
Watz wenzangu ni vizuri tukijenga tabia ya kusema ukweli hata kama unauma. Kwa kuwa na maelezo nusu nusu tunaumizana sana. Kama angekuwa na uhakika na anacho kisema angeweka hadharani kama mimi nilivyofanya, jf na hasa jukwaa la uchumi ni sehemu ya ukombozi, tusaidiane. Igeleke na Kibengu kuna ardhi ya hatari ndugu zangu. Niko ktk vijiji hivyo mwaka wa saba sasa. Igeleke manpower ni tatizo pia.

Tuokoe muda, kama una nia ya kuwasaidia wenzako wapande miti basi watafutie ardhi Kipanga, Lulanda,Ibwanzi na Ukami. Huko ardhi ipo na nzuri pamoja na manpower. Igeleke wanunue wenyeji kwa sababu za kiusalama.
 

Lakini hujataja hata biashara moja ambayo mtu anaweza kufanya bila kupata changamoto ktk dunia ya leo na hasa Tz yetu. Nitajie moja tu, usiseme ziko nyingi.
 
Lakini hujataja hata biashara moja ambayo mtu anaweza kufanya bila kupata changamoto ktk dunia ya leo na hasa Tz yetu. Nitajie moja tu, usiseme ziko nyingi.

ni majibu mepesi sana watu huwa wanatoa..kila biashara ina changamoto zake na kupigwa kupo!!
Kikubwa ni kutake calculated risk!!
 
Changamoto zipo katika biashara zote, na changamoto ni sehemu ya biashara. kuwekeza katika maeneo yasiyo hamishika ni vizuri na ni mawazo mazuri pia lakini kumbuka hayo mashamba unayosema ni ya koo au familia fulani ambapo wewe mwekezaji huingii mkataba na hao wote ila unaingia mkataba na baadhi ya watu katika koo hizo au familia hizo. Binadamu tuna tamaa sana na kutoheshimu makubaliano, nilishawai pelekwa huko kipindi fulani lakini nilipewa dondoo tu na baadhi ya watu ambao wanauzoefu na hii biashara, umakini ni kitu ambacho kinatakiwa sana katika huu uwekezaji.Bony Voyage
 
Futa kauli hiyo.
 
ukiuza miti ya nguzo kwa wanunuzi inakula kwako kwani wananunua kwa elf 30-35 wakati ukikata na kusafirisha mwenyewe hadi kwa merebu,sao hill au new forest, bei ni kunazi 85 kwa nguzo ndogo kabisa, laki 120,150, 200mpaka laki 250 kulingana na size ya unene wa nguzo, urefu na ilivyonyooka. sasa piga hesabu uja nguzo 100 za laki 250,000x 100 #25 ,000,000 je katika shamba la nguzo 1000 japo sio zote zitatoka nguzo tuseme inapata nguzo 940 una shilingi ngapi?
 
ukiuza miti ya nguzo kwa wanunuzi inakula kwako kwani wananunua kwa elf 30-35 wakati ukikata na kusafirisha mwenyewe hadi kwa merebu,sao hill au new forest, bei ni kunazi 85 kwa nguzo ndogo kabisa, laki 120,150, 200mpaka laki 250 kulingana na size ya unene wa nguzo, urefu na ilivyonyooka. sasa piga hesabu uja nguzo 100 za laki 250,000x 100 #25 ,000,000 je katika shamba la nguzo 1000 japo sio zote zitatoka nguzo tuseme inapata nguzo 940 una shilingi ngapi?
 


Asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri, maana mradi bila usalama ni dalili mbaya, waweza poteza thamani ya rasilimali yako uliyoiwekeza bila kutaraji.
 
Kuna wataalamu wa hii biashara walisema Iringa maeneo yamejaa coz watu wengi maeneo/ mashamba ni ya watu kule sema hayajaendelezwa so kuwa mwangalifu unaweza kuwa umeuziwa eneo la mtu ukampandia

na utapeli wa ardhi siku hizi uko modern sana kwani matapeli wanaondoa trace na signs zote za kuonyesha kuwa eneo lile ni la mtu

kuweni waangalifu sana however hii biashara nataka kuifanya pia research yangu ndio baadhi ya majibu niliyokutana nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…