Asante kwa kuchangia,
Watz wenzangu ni vizuri tukijenga tabia ya kusema ukweli hata kama unauma. Kwa kuwa na maelezo nusu nusu tunaumizana sana. Kama angekuwa na uhakika na anacho kisema angeweka hadharani kama mimi nilivyofanya, jf na hasa jukwaa la uchumi ni sehemu ya ukombozi, tusaidiane. Igeleke na Kibengu kuna ardhi ya hatari ndugu zangu. Niko ktk vijiji hivyo mwaka wa saba sasa. Igeleke manpower ni tatizo pia.
Tuokoe muda, kama una nia ya kuwasaidia wenzako wapande miti basi watafutie ardhi Kipanga, Lulanda,Ibwanzi na Ukami. Huko ardhi ipo na nzuri pamoja na manpower. Igeleke wanunue wenyeji kwa sababu za kiusalama.