Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,960
- 2,455
Ni balaa sana mkuu, watu saivi wamehamia kwenye parachichi huko hawataki kabisa kuskia habari ya mitiSasa kama mti hauna thamani si bora wachome mkaa wasafirishe mikoani, maana bei ya mkaa wa miti hiyo mepesi ni kati ya sh elf 20 mpaka 30 kwa gunia kuliko kuuza mti mmoja buku ( mara mbili ya bei ya miche [emoji1787][emoji1787]!!)