snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,433
- 1,176
Nimekuwa nikitafakari kitu cha kuwekeza kwenye shamba ambaloo liko sehemu ambayo ni remote kidogo.yaani watu bado hawaishi wengi,na ningependa kufaanya kkilimo.kwa muda wa kama miezi mitatu.ninasikia kuna aaina ya maharage yanaitwa ngwara(au ngara,sina uhakika) yana bei nzuri sana hasa kwa nchi jirani ya Kenya ambayo unaweza ukauza hata kwa Tsh300,000/= kwa gunia moja la kilo mia moja.kama kuna mtu anafahamu tafadhali naomba atujuze.na kama kuna mazao mengine tusiyoyajua yenye bei nzuri tafadhali tujulishane.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.