masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 574
Habari JF
Nimependa kuingia katka kilimo cha mbogamboga hususani katika kilimo cha Pilipili mbuzi na nyanya chungu
Hivyo basi naomba kupatiwa ufafanuzi juu vitu vifuatavyo
1. Gharama za uzalishaji kwa heka
2.Mavuno kwa heka
3.Historia ya bei zake sokoni
4.CHANGAMOTO KAMA ZIPO
Nawasilisha
Nimependa kuingia katka kilimo cha mbogamboga hususani katika kilimo cha Pilipili mbuzi na nyanya chungu
Hivyo basi naomba kupatiwa ufafanuzi juu vitu vifuatavyo
1. Gharama za uzalishaji kwa heka
2.Mavuno kwa heka
3.Historia ya bei zake sokoni
4.CHANGAMOTO KAMA ZIPO
Nawasilisha