Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

Sawa lakin naona kama umeiwahisha sana, kwan nyanya za saizi hiyo huenda zikawa nyingi, mara nyingine tegea uwe unapandia mwezi januar katikati za kuivia mwezi wa tatu bei yake huwa imechangamka sana. Ambapo unakuwa ulisiha mbegu mwezi wa 12 katikati.
Mkuu wewe ni mtaalamu wa zao hilo? Naweza pata contact zako kwa ushauri zaidi?
 
Samahanini jamani wadau..! Eti hekari moja ya nyanya inaweza kutoa tenga ngapi kwa uzoefu?
Inategemea na aina ya mbegu(F1 au OPV) na kampuni nyingi wanaandika mavuno kwa kila pakiti ya mbegu.Ila mara nyingi huwezi kupata mavuno exactly km ilivyoandikwa.
 
Hapa gharama zinategemea yafuatayo
1: location
2: source of water
3:labour
4: farm implement
5:Other inputs
Jaribu hapo kuchanganua hapo mkuu
Ok tuanze na mbegu nzuri inakua shilingi ngapi dukani inayotosha heka moja..? Kukodi shamba bei?? Kulima na kupanda. Na dawa zitakazo saidia kulinda mmea toka mwanzo kitaluni mpaka zikiwa tayari kuvunwa. Kwa kifupi nipe mdodoso wa kilimo cha nyanya kwa heka moja reference hapo ulipo wewe. Ili mwanga upatikane
 
Habarin Wana Jf, naomba msaada wa upatikanaji wa wanunuzi wa nyanya....nategemea KUVUNA mwanzoni wa mwezi wa KUMI panapo majaliwa, ukubwa wa shamba ni hekari moja, mbegu nilizotumia ni ASILA F1 na IMARA F1 nilichanganya mbegu japo nilizipanda kwa utofauti ili kujua mbegu Bora kwa msimu mwingine....Eneo nilipolimia ni BAGAMOYO.....ahsanteni
 
Habarin Wana Jf, naomba msaada wa upatikanaji wa wanunuzi wa nyanya....nategemea KUVUNA mwanzoni wa mwezi wa KUMI panapo majaliwa, ukubwa wa shamba ni hekari moja, mbegu nilizotumia ni ASILA F1 na IMARA F1 nilichanganya mbegu japo nilizipanda kwa utofauti ili kujua mbegu Bora kwa msimu mwingine....Eneo nilipolimia ni BAGAMOYO.....ahsanteni
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-193359_1.jpg
    Screenshot_20220918-193359_1.jpg
    57.3 KB · Views: 125
Kitu kwa hongera. Mie nimepanda imara mwezi November naanza kuvuna. Mie nimepanda IMARA F1 . Changamoto zako ni zipi huko? Mie Niko Chanika
 
Kitu kwa hongera. Mie nimepanda imara mwezi November naanza kuvuna. Mie nimepanda IMARA F1 . Changamoto zako ni zipi huko? Mie Niko Chanika
Mimi ni mara ya kwanza, changamoto kubwa nilizokumbana nazo ni ukungu, kuna kipindi kantangaze alitaka kunilaza na viatu lakini nashukur Mungu Sasa mambo yanaenda vizur....panapo majaliwa ya Mungu mwezi ujao mwanzoni naanza kuvuna
 
Kitu kwa hongera. Mie nimepanda imara mwezi November naanza kuvuna. Mie nimepanda IMARA F1 . Changamoto zako ni zipi huko? Mie Niko Chanika
Hongera nyingi zikufikie hapo chanika. Vipi hujakutana na changamoto ya mnyauko bacteria hapo chanika kwa hiyo mbegu?
 
Jamani naombeni kujua mbolea ya SUPER GROW Nitaipata wapi, Niko Huku Geita. Naomba connection ya mbolea hiyo
 
Habarin Wana Jf, naomba msaada wa upatikanaji wa wanunuzi wa nyanya....nategemea KUVUNA mwanzoni wa mwezi wa KUMI panapo majaliwa, ukubwa wa shamba ni hekari moja, mbegu nilizotumia ni ASILA F1 na IMARA F1 nilichanganya mbegu japo nilizipanda kwa utofauti ili kujua mbegu Bora kwa msimu mwingine....Eneo nilipolimia ni BAGAMOYO.....ahsanteni

Nenda mabibo au ilala kaonane na madalali wawili au watatu wakupe mchongo wa bei kwa siku hizi za karibuni. Halafu waulize kuhusu mteja wa kuzifuata shamba.

Ukishapata majibu utajua wapi kunakulipa. Japo kupeleka sokoni kunalipa ila kuna usumbufu
 
Nimesoma komenti tangu mwanzo hadi hapa.. Ila bado sijapata content ya kujitosheleza.. Hasa kwa sisi wageni ambao tunashawishika kulima zao la nyanya..
Kilimo cha nyanya , ni project kama project zingine tuu.. Hivyo inahitaji mambo kadha wa kadha wa kuyajua. Mfano, ujue gharama ya from beginning to end, gharama ya kuvuna, na faida zake; hii itategemea na ukubwa wa shamba, kama ni kwa robo eka, nusu au ekali nzima..
Sasa inaonyesha is like wengi wetu tunaingia bila kujua mchanganuo... Changamoto nk.

Story zimekuwa nyingi, kila utaalamu adi mtu unashindwa kujua ufanyeje..

It seems like humu kuna wakweli na matango pori..

Mbaya zaidi sasaivi sisi wanadamu hasa watanzania tunapokea kila kitu kutoka nje huko. Hao wa nje wanatuletea kila kitu skuiz chotara na feki za muda mfupi ili tuendelee kuwategemea..

Yaani imefikia hadi sasa ivi hatuwezi tena kutengeneza mbolea ya mboji ya asili, tunataka shortcut.. Hii imetulemaza sana.

Kuna mzee mmoja mahali flan ana shamba la ekali kama moja, analima mahindi.. Analima kilimo cha mkono tuu, anaweka mboji, kwenye ukuzaji anatumia ya kuku na ng'ombe, kila wakati anatembelea shamba, anafanya parizi mda wote, shamba liko saaafii mda wote, kila wakati anaweka mbolea hizo pale anapoona inabidi... Yaani mahindi yake yananyanyuka hatareee yanabeba baraaaa...
Lakini sisi vijana skuiz tumekuwa brain washed na hao washenzi wa nje.. Wanatengeneza strategic programs, wana zi publish kwa nguvu zoooteee.. Sisi tuna vitu vingi vya asili ambavyo ukiwa creative unaweza ukalima bila ya kutumia hayo madawa yao kwa sana, na ukafanikiwa..

Nimefanya studies kadhaa, believe me o not,, hayo madawa na mambolea yao, ndio in returns yanaleta madudu kibao.. So, itafika mahali kuna siku TUTALETEWA HADI UDONGO WA KUUZWA AMBAO UTAKUWA UNAFAA KWA KILIMO.. Usipo tumia akili utasema haiwezekani.. Nikwambie sasa.. Wataleta madawa ambayo watakuambia uchanganye udongo wako na hayo madawa kabla ya kuweka mbolea, na utatii, then watakuambia nunua pumba spesho kutoka wapi sijui, uziweke juu yake kabla ya mbolea, na utatii.. Hawa jamaa wana propaganda ambazo zina tu brain wash akili zetuu zoooteee tuna wawaza wao tuu..

Inafikia mahali kijana anapata ka milioni kake kamoja,, anatamani kulima nyanya, anapata ushauri mbaya wa kwamba ela haitoshi.. Wakati iyo milioni moja analima vizuri tuu hata ekali mbili, kama akichanganya utundu wetu wa asili tuliokuwa tukiutumia kwa kuufanya modify kidogo kuendana na mazingira plus ata kumwagilia kwa mkono, na akatoboa.

Lakini leo,,,, tunakuwa propagate kila konaaaaaaa tutumie ela nyingiii kulima. Ili wachache walime.. Shame on us..
Nimechukia sanaaaaa
 
Habarin Wana Jf, naomba msaada wa upatikanaji wa wanunuzi wa nyanya....nategemea KUVUNA mwanzoni wa mwezi wa KUMI panapo majaliwa, ukubwa wa shamba ni hekari moja, mbegu nilizotumia ni ASILA F1 na IMARA F1 nilichanganya mbegu japo nilizipanda kwa utofauti ili kujua mbegu Bora kwa msimu mwingine....Eneo nilipolimia ni BAGAMOYO.....ahsanteni

Nimesoma komenti tangu mwanzo hadi hapa.. Ila bado sijapata content ya kujitosheleza.. Hasa kwa sisi wageni ambao tunashawishika kulima zao la nyanya..
Kilimo cha nyanya , ni project kama project zingine tuu.. Hivyo inahitaji mambo kadha wa kadha wa kuyajua. Mfano, ujue gharama ya from beginning to end, gharama ya kuvuna, na faida zake; hii itategemea na ukubwa wa shamba, kama ni kwa robo eka, nusu au ekali nzima..
Sasa inaonyesha is like wengi wetu tunaingia bila kujua mchanganuo... Changamoto nk.

Story zimekuwa nyingi, kila utaalamu adi mtu unashindwa kujua ufanyeje..

It seems like humu kuna wakweli na matango pori..

Mbaya zaidi sasaivi sisi wanadamu hasa watanzania tunapokea kila kitu kutoka nje huko. Hao wa nje wanatuletea kila kitu skuiz chotara na feki za muda mfupi ili tuendelee kuwategemea..

Yaani imefikia hadi sasa ivi hatuwezi tena kutengeneza mbolea ya mboji ya asili, tunataka shortcut.. Hii imetulemaza sana.

Kuna mzee mmoja mahali flan ana shamba la ekali kama moja, analima mahindi.. Analima kilimo cha mkono tuu, anaweka mboji, kwenye ukuzaji anatumia ya kuku na ng'ombe, kila wakati anatembelea shamba, anafanya parizi mda wote, shamba liko saaafii mda wote, kila wakati anaweka mbolea hizo pale anapoona inabidi... Yaani mahindi yake yananyanyuka hatareee yanabeba baraaaa...
Lakini sisi vijana skuiz tumekuwa brain washed na hao washenzi wa nje.. Wanatengeneza strategic programs, wana zi publish kwa nguvu zoooteee.. Sisi tuna vitu vingi vya asili ambavyo ukiwa creative unaweza ukalima bila ya kutumia hayo madawa yao kwa sana, na ukafanikiwa..

Nimefanya studies kadhaa, believe me o not,, hayo madawa na mambolea yao, ndio in returns yanaleta madudu kibao.. So, itafika mahali kuna siku TUTALETEWA HADI UDONGO WA KUUZWA AMBAO UTAKUWA UNAFAA KWA KILIMO.. Usipo tumia akili utasema haiwezekani.. Nikwambie sasa.. Wataleta madawa ambayo watakuambia uchanganye udongo wako na hayo madawa kabla ya kuweka mbolea, na utatii, then watakuambia nunua pumba spesho kutoka wapi sijui, uziweke juu yake kabla ya mbolea, na utatii.. Hawa jamaa wana propaganda ambazo zina tu brain wash akili zetuu zoooteee tuna wawaza wao tuu..

Inafikia mahali kijana anapata ka milioni kake kamoja,, anatamani kulima nyanya, anapata ushauri mbaya wa kwamba ela haitoshi.. Wakati iyo milioni moja analima vizuri tuu hata ekali mbili, kama akichanganya utundu wetu wa asili tuliokuwa tukiutumia kwa kuufanya modify kidogo kuendana na mazingira plus ata kumwagilia kwa mkono, na akatoboa.

Lakini leo,,,, tunakuwa propagate kila konaaaaaaa tutumie ela nyingiii kulima. Ili wachache walime.. Shame on us..
Nimechukia sanaaaaa
Nakubali kaka, kuhusu mbolea tokea nimeanza natumia ya kuku mpaka leo hii na mzigo now umefikia hapa....Ila kwa zao la nyanya madawa ni muhimu hususani za wadudu la sivyo unaweza toka patupu....Mungu ni mwema
 

Attachments

  • Screenshot_20221007-103544.png
    Screenshot_20221007-103544.png
    360.5 KB · Views: 121
  • Screenshot_20221007-103503.png
    Screenshot_20221007-103503.png
    388 KB · Views: 129
Back
Top Bottom