Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii bongo hatulimi hiii Ardhi yetu haikubal kabisaPicha kwa hisani ya Google. View attachment 778343View attachment 778344
Mkuu ardhi ya kwenu wapi haikubali?Hiii bongo hatulimi hiii Ardhi yetu haikubal kabisa
Pia ingia Google utapata details zote,kinastawi mazingira yeyote zaidi kwenye joto, pia sehemu kame,na zisizo na rutuba.soko labda uexport kwenye viwanda vya madawa nje.Habarini za mchana wanaJF, naomba msaada wa hiki kilimo. Nahitaji kufahamu ni wap kinastawi vizur kwa Tanzania, ulimaji wake, dawa, mbolea, mavuno etc.
Natanguliza shukrani.
Zinazalisha mafuta kwa ajili ya vipodozi,Urembo,sabuni,mafuta ya kuwashia taa,Magari nkBongo hizi nyonyo huwa zinajiotea makorongoni au maporini kumbe deal aisee ,Sasa hawa wataalam wetu mbona ka wamepotezea fursa hii kuitangaza wananchi wakajipataia kipato! Mpwapwa zinakubali zana hizi kitu mkuu
Nashukuru sana mkuu kwa hii helpful comment. Naomba kuuliza pia, inachukua mda gani kutoka uotaji wake mpk uvunaji?Bongo hizi nyonyo huwa zinajiotea makorongoni au maporini kumbe deal aisee ,Sasa hawa wataalam wetu mbona ka wamepotezea fursa hii kuitangaza wananchi wakajipataia kipato! Mpwapwa zinakubali zana hizi kitu mkuu
Mkuu we uliishi mpwapwa miaka ipi ?Mkuu TIBIM nimekusoma asante ,nilichokua nakijua enzi zetu huko Mpwapwa kipindi cha baridi miguu ilikua ikipasuka kwa kiswahi kizuri machacha tulikua tunaponda nyonyo na kupaka ,au tunaambiwa zinatengeneza mafuta ya ndege ahahaha
Naomba unipe mwanga kwenye kupanga uzazi na kusababisha ugumbaNyonyo zinatumika pia kupanga uzazi ila pia zinaweza kukupa Ugumba.
Mkuu sio kweli huku kwetu yanajiotea kwa wingi mno sehemu yenye miti ya miembe pale penye rutuba haswa.Hiii bongo hatulimi hiii Ardhi yetu haikubal kabisa
Kiasi gani na kwa sh ngap?Nahitaji Mbegu za Castor Oil.Kuna Shamba liko Idle kile Kilimanjaro na Nzega na Hali ya hewa inafaa maana Mvua haizidi 700mm Kwa Mwaka na Ardhi ya Kichanga.
Kilo 3 Tu zile zenye Rangi kama Maharage ya Rose cocoKiasi gani na kwa sh ngap?
Nyonyo wanazo wadada wa mikoa flani. Unakuta manyonyo kama yooooteHabarini za mchana wanaJF, naomba msaada wa hiki kilimo. Nahitaji kufahamu ni wap kinastawi vizur kwa Tanzania, ulimaji wake, dawa, mbolea, mavuno etc.
Natanguliza shukrani.
Nahitaji Mbegu za Castor Oil.Kuna Shamba liko Idle kile Kilimanjaro na Nzega na Hali ya hewa inafaa maana Mvua haizidi 700mm Kwa Mwaka na Ardhi ya Kichanga.
Sawa nitauliza kijini ila sidhani kwa sasa kuyafikisha kg3 nadhini hadi wa 4 yatakuwa mengi sanaKilo 3 Tu zile zenye Rangi kama Maharage ya Rose coco