Sawa ukifika geita nicheki tafadhari nahitaji kujifunza zaidi. Nipo geita haina haja ya majaribio yanastawi na kuzaaUsijali Mkuu,nimepata Kule Kilimanjaro na bei Yao ni Elfu 2 Kwa Kilo.Nimeshaagiza waniletee Kwa basi hadi Dar kisha yatapandwa Mwezi Februari Nzega na Geita Kwa Majaribio na Pia kule Kibiti Pwani.Baada ya Miezi 3 Nitakuwa na Mbegu za Kutosha na Mafuta Tele Kwa biashara zangu.Ahsante Sana Kwa kujali.
Shukrani.Ifikapo June litakuwa na Mbegu za kutosha.Sawa ukifika geita nicheki tafadhari nahitaji kujifunza zaidi. Nipo geita haina haja ya majaribio yanastawi na kuzaa
Minyonyo iko kila sehemu hapa Bongo na wala haipandwi, unaishi Tanzania ya wapi wewe?Hiii bongo hatulimi hiii Ardhi yetu haikubal kabisa
Dodoma yanajiotea yenyewe!Hiii bongo hatulimi hiii Ardhi yetu haikubal kabisa
Una machine ya kukamua mafuta yake?Usijali Mkuu,nimepata Kule Kilimanjaro na bei Yao ni Elfu 2 Kwa Kilo.Nimeshaagiza waniletee Kwa basi hadi Dar kisha yatapandwa Mwezi Februari Nzega na Geita Kwa Majaribio na Pia kule Kibiti Pwani.Baada ya Miezi 3 Nitakuwa na Mbegu za Kutosha na Mafuta Tele Kwa biashara zangu.Ahsante Sana Kwa kujali.