Kilimo cha parachichi ni njia rahisi ya kuufikia utajiri mkubwa

Kwanini HASS, kwa sababu inakaa muda mrefu rafuni(Shelf life) hadi mwezi mzima bila kuharibika na hapa ni pale tu ikitunzwa kwenye Good Condition(5°C).

Parachichi inapandwa kwenye eneo lenye Altitude 0-2000's asl ila the best for Hass variety tunayoilima kwa wingi nyanda za juu kusini ni Mita 1800-2000 asl na hii ni kwa ajili ya uwekaji mzuri wa mafuta. So Kilindi huwezi Lima Parachichi kibiashara mkuu. Napajua huko pana joto sana.
 
tatizo soko mkuu....niko morogoro wilaya ya mvomero.. nina shamba la parachichi.. kwa huku shambani tunauza sh. 50 kwa parachichi moja

kama huto jali kaka nipe connection ya soko nilete mzigo wangu mkuu

nitashukuru sana

0655 944268
Mvimero sehemu gani na umesimama variety gani mkuu. Variety hass ndio nzuri kwani ina mafuta mengi, ganda gumu na lenye vinundu, lina dumu muda mrefu bila kuharibika na lina soko la uhakika ndani na nje ya nchi.
 
Ni sahihi, Parachichi ni moja wapo la "high value crop" lina hitaji mtaji mkubwa kuliko manage hususan kwenye Maji, ratiba nzuri ya mbolea na upigaji sahihi wa viuatilifu.
Ni kweli kabla ya kuingia kwenye hiki kilimo ni lazima ujiande kiuchumi kwani ili kwa miaka 2-3 iweze kuzaa inahitaji close management with high amkunt of money i.e lazima uwe na nguvu ya kiuchumi. Mkuu, ukilihudumia vizuri ni uchumi na utajiri. Mi nipo Rungwe mkuu naona kazi inavyofanyika na uchumi tulionao.
 
Rukwa sehemu gani? Kabla hujaagiza miche sema ili nikushauri bro. Najua Rukwa na Katavi yote pia nipo kwenye Kilimo cha Parachichi kwa muda mrefu sasa.
 
From morogoro Ila nimekuja kuwekeza njombe.nimelima parachichi hass na adi sasa natimiza miezi 6 tangu nipande hii miti kalibuni wazee na vijana wenzanguView attachment 2642897
Hii miche umeitoa wapi? Mbona kama siioni hass hapo. Hass ni lazima majani yawe kijani tii, yawe membamba na yamechangia na hayo mapya yanakuwa kama yana mafuta.

Hapa ni muhimu sana kwenye kuchagua na kuwa na uhakika na miche kwani unaweza jua ni hass kumbe ni locla variety. Miche mingi ya Morogoro mnaambowa Hass but sio hass. Niliona pale kwenye Bustani za mbegu za miti Morogoro na hata jamaa yangu Emanuel aliniletea toka Moro. Hii kama sio Hass kwa nionavyo bro.
 
Natamani ungeandika na kitabu chenye huo ushuhuda halisi wa mafanikio. Hongera sana mkuu.
 
Mkuu, vipi kwa Kakonko mkoani Kigoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…