Kilimo cha PDF - Parachichi

Kilimo cha PDF - Parachichi

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wadau karibuni muwekeze Njombe. Wewe toa pesa tu sisi tutakufanyia kila kitu, ikiwemo kununua hizo parachichi
images - 2022-05-16T091414.125.jpeg


images - 2022-05-16T091352.101.jpeg
 
Wadau karibuni muwekeze Njombe. Wewe toa pesa tu sisi tutakufanyia kila kitu, ikiwemo kununua hizo parachichi
View attachment 2226565

View attachment 2226566
Mna mashamba yenye ukubwa wa hekali ngapi ninyi kama wahamasishaji wa PDF kwa mfano.

Mnaweza mkakopa benki ya Kilimo badala ya kudunduliza pesa za wakulima wadogo, mkalima mahekali mengi ikawa mfano kwa wakulima wadogo. Maana faida ni kubwa mno kuja kuomba omba vijihela vya kudunduliza kisha mfanye kila kitu halafu mnunue.

Sounds too good to be true.

I am sorry
 
Mna mashamba yenye ukubwa wa hekali ngapi ninyi kama wahamasishaji wa PDF.

Mnaweza mkakopa benki ya Kilimo badala yabkudunduliza pesa za wakulima wadogo, mkalima mahekali mengi ikawa mfano. Maana faida ni kubwa mno kuja kuomba hela yangu kisha mnifanyie kila kitu halafu mnunue.

I am sorry
Mjini mipango mjomba. TOA pesa tu wewe
 
Wadau karibuni muwekeze Njombe. Wewe toa pesa tu sisi tutakufanyia kila kitu, ikiwemo kununua hizo parachichi
View attachment 2226565

View attachment 2226566
Kuna watu wameshikiwa akili ya tathimini nawaona wanavyoingia shambani.

Inabidi niende huko Njombe ili nijifunze jinsi hawa jamaa wananunua PDF iliyopo kwa sasa. Ni biashara nzuri kwa mchanganuo huo. Hivi ni kweli hizo PDF zilizopo wananunua kwa bei hizo
 
Back
Top Bottom