Kilimo Cha strawberry

Joined
Aug 7, 2022
Posts
10
Reaction score
6
Mimi ni mkulima wa strawberry na nmeanza kilimo Cha strawberry tangu January mwaka huu Ila bado sjafanikiwa kuona MATUNDA sjui ni wap nakosea Ila nmejitahidi kufuatilia bado sjapata ufumbuzi wa changamoto zinazonikabili ktk kilimo nnachokifanya naomba msaada wenu kwa anaejua?
 
Kilimo cha strawberry kinachangamoto Kama umenunua Miche tu na kupanda kabla hujajiridhisha kuhusu aina za mbegu na sifa zake
Mi ni mkulima pia na nilinunua mbegu ambazo ndani ya miezi 3 inatoa matunda
Na je umepanda mbegu gani? Kuna tristar pajero na Chandler
Upo mkoa gani nichek 0657 560542 nikuelekeze
 
Mtafute jamaa anaitwa MATUNDA AFYA ,yuko facebook atakuelekeza vizuri !
 
Usikute umelimia ukanda wa pwani, hahaaa, Kama ni pwani hakuna kitu hapo,
 
Tangu january hadi sasa lazima awe kapata matunda hata ingekuwa breed gani, nazani jamaa possibility eneo anao limia, na usikute analimia ukanda wa pwani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…