emmanuel mujuni
New Member
- Jun 29, 2015
- 2
- 0
Habari wana JF,
Naomba mwenye ufahamu na kilimo cha matikiti maji anifahamishe mambo yafutayo;
1. Jinsi ya kulima
2. Mbegu gani nzuri
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Naomba mwenye ufahamu na kilimo cha matikiti maji anifahamishe mambo yafutayo;
1. Jinsi ya kulima
2. Mbegu gani nzuri
Natanguliza shukrani zangu za dhati