Hakuna mchongo wa maana ukazagaa mtandaoni kamwe ukiona kitu free kina gharama kubwaNilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free of charge, kuna mtu yoyote ni mkulima wa Apple atupe dondoo la soko hapa Tanzania?
✅👏👏👏🙏Imani yangu itastawi na kuota matunda, hapo kuna miche aina mbili inayohitaji au kukua kwenye mazingira ya baridi sana na Ile ya wastani.
Ndiyo maana kama umenisoma vyema nimechukua Miche 4 ambayo ndani ya mwaka utanipa majibu ya ukuaji wake na nitafanya tathimini lya uzalishaji kisha nitaamua kupanda mingi au laa. Ngoja tuone mwaka siyo mkubwa nitajua mbovu na mbichi.
Aisee😀Hakuna mchongo wa maana ukazagaa mtandaoni kamwe ukiona kitu free kina gharama kubwa
Miche mmoja nilinunua Sh 10,000/ sasa wanauza Sh 8,500/ ila kuanzia Miche 12 nimeona wakitangaza hivyo.Mkuu, apple inakubali Geita?
Miche inauzwa bei gani mkuu?
Namshukuru sana kwa taarifa mkuu🙏Miche mmoja nilinunua Sh 10,000/ sasa wanauza Sh 8,500/ ila kuanzia Miche 12 nimeona wakitangaza hivyo.
Kuhusu kukua, najua itakuwa hapa nangoja kujua ufanisi wake.
Mche wa Apple ni buku 3Miche mmoja nilinunua Sh 10,000/ sasa wanauza Sh 8,500/ ila kuanzia Miche 12 nimeona wakitangaza hivyo.
Kuhusu kukua, najua itakuwa hapa nangoja kujua ufanisi wake.
Nafikiri "semina" ndiyo free, lakini ukihitaji mbegu ni lazima ulipie. Na hilo ni la kawaida kabisa kwenye biashara.Hakuna mchongo wa maana ukazagaa mtandaoni kamwe ukiona kitu free kina gharama kubwa
Mkuu, ni wapi wanakouza sh 3,000/=?Mche wa Apple ni buku 3
Maybe ulipigwa
Miche ya apple ya Wambugu ni ghari sana na ile ndio miche ya uhakika, hii ya Iringa siijui hata ni aina gani ya apple. Wambugu apple ni nzuri sanaMkuu, ni wapi wanakouza sh 3,000/=?
Wakenya wenyewe wanauza Ksh 500/= kwa mche mmoja, ukiibadilisha kwa hela ya Tanzania si chini ya Tsh 8,000/=.
Mimi nafikiri kama miche aliyouziwa ni "mizuri", hata kwa Tsh 10,000/= bado ni bei nzuri
Usipoteze muda kumuelewesha mtu asiyejua, nimeridhia mie kununua Sh 10,000/ au Sh 8,000/ yeye anasema Sh 3,000/ hawa ndiyo wanaishiaga kuvunja moyo wenzao.Mkuu, ni wapi wanakouza sh 3,000/=?
Wakenya wenyewe wanauza Ksh 500/= kwa mche mmoja, ukiibadilisha kwa hela ya Tanzania si chini ya Tsh 8,000/=.
Mimi nafikiri kama miche aliyouziwa ni "mizuri", hata kwa Tsh 10,000/= bado ni bei nzuri
Iringa wanazo aina tofautitifauti, na wanayo catalogue yao inafafania kila aina, binafsi niliagiza aina ijulikanayo kama Anna pamoja na Dorsett Golden zinazostawi maeneo yasiyo na baridi sana. Ipo na aina zingine zinastawi kwenye baridi kali.Miche ya apple ya Wambugu ni ghari sana na ile ndio miche ya uhakika, hii ya Iringa siijui hata ni aina gani ya apple. Wambugu apple ni nzuri sana
Ok hongera sana mkuu,,usisite kutuja matokeo ya mwisho ya uzalishaji ,,Miche michache 4 kuona ukuaji wake Kwanza ndani ya mwaka kisha biashara
Hata kama itakubali kukua vizuri...kabla ya kufanya large scale shamba ni muhimu kwanza ufanye trials huko shamba...miche 30 au 50....Miche mmoja nilinunua Sh 10,000/ sasa wanauza Sh 8,500/ ila kuanzia Miche 12 nimeona wakitangaza hivyo.
Kuhusu kukua, najua itakuwa hapa nangoja kujua ufanisi wake.
Unauliza soko usha zalisha? Hivi nani anawaambia kwamba u apaswa kwanza kupewa soko then ndio ukazalishe? Sikiliza unatafuta soko ukiwa na products, Kuna Wamisir huwa wanakuja hadi Tanzania na matunda yao ya sample kutafuta soko.
Hakuna mtu anaweza kukupatia soko kama huna mzigo, mtu anataka aone sample kwanza ndio muongeee biashara.
Zalisha then tafuta soko. by the way Apple si zinaliwa? ni chakula kile so zinaliwa
Hakuna mchongo wa maana ukazagaa mtandaoni kamwe ukiona kitu free kina gharama kubwa
USha wahi lima hata mchicha? Unajuaje kuna faida kwenye ku export? unaweza ebda shindana na nchi kama Poland na wengineo ambao wana hecta na hecta za Apple?
Siku zote soko la ndani ndio soko la uhakika, internatiina Market isikie tu story zake, sio rahisi kama unavyo dhania
Vinakusaidia kusonga na maisha ila hakuna mchongo wa maana ukazagaa mtandaoni elewa pointiSio kweli kaka tunajifunza vingi kwenye mitandao kwa bure na vinatusaidia kusonga na maisha.
Baridi kwa Apple ni muhimu.Shukrani kwa taarifa hii, nimeipenda!
Je hazihitaji sehemu zenye baridi sana?!
Haiwezi kutoa maua,kwasababu Apple inahitaji "Chilling temperature" ili kutoa maua na hatimaye kuweka matunda.Kustawi itastawi je kuzaa? Hata Dar unaweza panda apple na ikastwai ila kutoa matunda ndio mziki
Mimi nimeotesha apple DSM,, kupata matunda nilishapata ila simshauri mtu aoteshe aple dar..mikoa kama kagera..Arusha iringa Njombe sawa ila DSm ni changamoto saana..kipindi cha joto zinashambuliwa sana, nina mbegu ya wambugu kutoka kenya na nyingine nilinunua kuffel creek nadhani hata tamu tamu wananunua kwaoKustawi itastawi je kuzaa? Hata Dar unaweza panda apple na ikastwai ila kutoa matunda ndio mziki