Mnada haukufanyika, kutokana Kutokuwepo kwa mzigo wa kutosha katika maghala Makuu,, watapiga wiki Ijayo kwa maana Jumapili ijayo. Pia nilisikia Redio Mbao kua Jumatano ya keshokutwa wanaweza kupiga. Ngoja tusubiri.
Mnada haukufanyika, kutokana Kutokuwepo kwa mzigo wa kutosha katika maghala Makuu,, watapiga wiki Ijayo kwa maana Jumapili ijayo. Pia nilisikia Redio Mbao kua Jumatano ya keshokutwa wanaweza kupiga. Ngoja tusubiri.