Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Nipo kwenye group la wakulima wa kisasa ngoja nikuulizie supplier.Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa ajili ya familia.
Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili maana nimeshapigwa 20,000/= kwa kuchukua namba mtandaoni na kusubiria kutumiwa. Tafadhali mnisaidie kwenye uhakika ambako naweza agiza mbegu za UYOGA na nikatumiwa.
Arusha kuna mama mmoja ni mtaalamu wa muda mrefu na anaaminika sana, hufadhiliwa kutoa mafunzo...Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa ajili ya familia.
Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili maana nimeshapigwa 20,000/= kwa kuchukua namba mtandaoni na kusubiria kutumiwa. Tafadhali mnisaidie kwenye uhakika ambako naweza agiza mbegu za UYOGA na nikatumiwa.
Nipo kwenye group la wakulima wa kisasa ngoja nikuulizie supplier.
Kwanza upo mkoa gani nijuwe? Maana kwa Morogoro SUA ndio rahisi.
Ulipata ndugu? Na kama umedhamilia,kwa nini usiangalie wapi pana uhitaji,uchukue mzigo wa kutosha?Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa ajili ya familia.
Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili maana nimeshapigwa 20,000/= kwa kuchukua namba mtandaoni na kusubiria kutumiwa. Tafadhali mnisaidie kwenye uhakika ambako naweza agiza mbegu za UYOGA na nikatumiwa.
Tunaomba mrejesho mkuu ulifanikiwa?Mi nipo Kilombero Morogoro. Ngoja nifuatilie huko SUA. Nakushukuru Sana