Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa ajili ya familia.
Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili maana nimeshapigwa 20,000/= kwa kuchukua namba mtandaoni na kusubiria kutumiwa. Tafadhali mnisaidie kwenye uhakika ambako naweza agiza mbegu za UYOGA na nikatumiwa.
Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili maana nimeshapigwa 20,000/= kwa kuchukua namba mtandaoni na kusubiria kutumiwa. Tafadhali mnisaidie kwenye uhakika ambako naweza agiza mbegu za UYOGA na nikatumiwa.