Ni ngumu ku estmate gaharama kwa kuwa inahusisha kununua shamba la kwako kabisa. Na huwez jua shamba utauziwa wa bei gani mkuu.Hongera sana mkuu, naomba kujua kwa heka moja kwa anayeanza anatakiwa awe na mtaji kiasi gani?
Nashukuru mkuu, labla kwa kuwa sikuweka sawa swali ni kwamba tuondoe gharama za kununua shamba kwani tayari ninalo na pia kwa hekari moja mavuno yanaweza fikia kilo ngapi?Ni ngumu ku estmate gaharama kwa kuwa inahusisha kununua shamba la kwako kabisa. Na huwez jua shamba utauziwa wa bei gani mkuu.
Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app
Boss vanilla ni very selective! Usidhani mahala popote ulipo na shamba unaweza kulima hii kitu. Otherwise kila mkoa ingekuwa inalimwa. Nimeinclude kununua shamba nikiamini ili uweze kuvuna na kupata faida ni lazima ufate maeneo ambayo ni favourable kwa kilimo hiki, na bahati mbaya shamba halihamishiki.Nashukuru mkuu, labla kwa kuwa sikuweka sawa swali ni kwamba tuondoe gharama za kununua shamba kwani tayari ninalo na pia kwa hekari moja mavuno yanaweza fikia kilo ngapi?
Nimekupata kiongozi ila kuna mdau kataja baadhi ya mikoa inayofaa kulima hili zao nikaona hata mkoa niliko na shamba nao umetajwa ndio nikahamasika kuilizaBoss vanilla ni very selective! Usidhani mahala popote ulipo na shamba unaweza kulima hii kitu. Otherwise kila mkoa ingekuwa inalimwa. Nimeinclude kununua shamba nikiamini ili uweze kuvuna na kupata faida ni lazima ufate maeneo ambayo ni favourable kwa kilimo hiki, na bahati mbaya shamba halihamishiki.
Na gaharama za utunzaji pia zitatofautiana kulingana ulipo.
Otherwise nikwambie za maeneo nilipo mimi, japo ninahisi shamba lako lipo sehem nyingine
Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app
very interesting mkuu..Mi nalima hii kitu. Hela iko huku. Sema inabidi ununue shamba kabisa huwezi kukodi shamba la mtu coz zao linakaa shambani hadi miaka minne hadi mitano na kila msimu unavuna tu. Niwe mkweli inalipa sana tena sana ila kwa mtu mvumilivu asiye na pupa na mafanikio. yaani sio mtu unalima leo unataka ndani ya miezi mi3 uvune uuze. Mwaka huu tunategemea inaweza kufika laki 1 kwa kilo. Naomba niishie hapa maana nikiamua kuandka kila kitu nitakesha humu aisee ila kama kuna mtu ana capital ya kutosha kama mil 5 tu anicheki PM tuunde company ya uzalishaji tupige hela.
Ndugu... vp straw hakuna soko la uhakika.... nina uwezo wa kucheua kilo hata 100 kila baada ya cku 3Mi nalima hii kitu. Hela iko huku. Sema inabidi ununue shamba kabisa huwezi kukodi shamba la mtu coz zao linakaa shambani hadi miaka minne hadi mitano na kila msimu unavuna tu. Niwe mkweli inalipa sana tena sana ila kwa mtu mvumilivu asiye na pupa na mafanikio. yaani sio mtu unalima leo unataka ndani ya miezi mi3 uvune uuze. Mwaka huu tunategemea inaweza kufika laki 1 kwa kilo. Naomba niishie hapa maana nikiamua kuandka kila kitu nitakesha humu aisee ila kama kuna mtu ana capital ya kutosha kama mil 5 tu anicheki PM tuunde company ya uzalishaji tupige hela.
Mirija?? Au strawberryNdugu... vp straw hakuna soko la uhakika.... nina uwezo wa kucheua kilo hata 100 kila baada ya cku 3
Sent from "La -Vista"
Strawberry... nliandika kwa mapepe... au itakuwa mirija inayolimwa na kuvunwaMirija?? Au strawberry
Hate me at your own risk
mzee avatar yako huwa inaniacha hoi aiseePicha hamna.....wengine hatuijui
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
soko lipo wapi kama kuna muelewa mkuu na mbegu zake nipate wapi au ni yale mambo ya vegetative propagationKuna kipindi kilo ilikuwa 12000 tuitafuta Sana na bi mkubwa mpaka huko Muleba
Sent using Jamii Forums mobile app
Somo vizuri mkuu tulitafuta sana na bi mkubwasoko lipo wapi kama kuna muelewa mkuu na mbegu zake nipate wapi au ni yale mambo ya vegetative propagation
Wakuu soko la Vanilla Tanzania hapa lipoje? Wadau wakubwa wa hii kitu ni wakina nani??