Salama wanajamvi , sitaki kuandika mengi sana ila wakulima wa nchi hii wanapitia mengi sana magumu hasa kutokana na ukosefu wa taarifa sahihi na utaalamu , basi ngoja niwaletee stori ambayo nimeitoa kwenye group Moja la WhatsApp kuhusu kilimo cha Vanilla je ni kweli? Kila mmoja adondoshe comment yake Ili tupate maarifa , naanza na hawa jamaa wa Vanilla international huwa nawasikia sana
C&P
VANILLA INTERNATIONAL LIMITED
napenda kukualika KWENYE kilimo Cha Hela nyingi Cha ZAO LA VANILLA. Wekeza pesa kwa ili tukusaidie kukujengea Banda kitalu yaani SHAMBA kitalu (GREENHOUSE) kwa ajili ya KUKUPANDIA marando ya VANILLA ambayo ndilo zao namba moja kwa kuzaa sana na kwa kuwa na BEI KUBWA KWA KILO MOJA. Wastani wa BEI YA VANILLA NI TZS 1,500,000/=
MATARAJIO YA MAVUNO YA VANILLA:
Mche mmoja wa VANILLA INAZAA matawi 10 kwa mwaka na kampuni ya VANILLA INTERNATIONAL LIMITED inanunua matawi(marando) kwa Tzs 20,000/= kwa kila random(#VANILLACUTTINGS).
Hii Ina maana kuwa mche mmoja wa VANILLA utakuzalishia Tzs 200,000/= kwa kila MWAKA KWA KUUZA MARANDO TU(#VANILLACUTTINGS). Kwa hiyo ukiwa na Miche 100 itakuzalishia Tzs Milioni 20 kwa KUUZA MARANDO YA VANILLA (#VANILLACUTTINGS).
VANILLA BEANS (MAHARAGE YA BANILLA):
Mche mmoja wa VANILLA UNAZAA kilo 15 kwa wastani na Bei ya Vanilla mbichi kwa kilo ni TZS 220,000/= na hivyo kukupatia mpaka Tzs 3,000,000/= kwa mche mmoja. Kwa KIFUPI ZAO LA VANILLA LINA PESA KULIKO MRADI WOWOTE WA KILIMO. I MEAN VANILLA HAIFANANI NA MAHINDI, KAHAWA, KUNDE, PARACHICHI,MITI, MAHARAGE, VIAZI, STRAWBERRY, NDIZI WALA MPUNGA KAMA ULE MRADI WA MASANJA MKANDAMIZAJI.
MAADA itaendelea hivi karibuni.
Ila waweza kupata baadhi ya GHARAMA ZA GREENHOUSES ZA VANILLA:
UKUBWA (SQM). ..... BEI(000,000/=)
40. 3
72. 4
120. 6.2
200. 8.7
300. 12
400. 18
600. . 22
800 . 25
ROBO HEKA . 33
NUSU HEKA . 56
HEKA. 87
HEKA 2. 140
HEKA 4. 200.
(Negotiable).
Nb: LAZIMA UWE NA MTAJI