isayaj
Senior Member
- May 10, 2022
- 153
- 146
Napenda kuwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo siyo mwandishi mzuri ila napenda ku-share na nyie Watanzania wenzangu kuwa zipo furusa nyingi za uwekezaji lakini baadhi yetu hatujui na hatujawahi fuatilia. Mkoa wa Dodoma ni maarufu kwa zao la zabibu na mm ni mmoja wa wakulima wa zao Hilo.
Kwa mazao ya kibiashara ninayo yajua mim naliweka namba 1 kwa kua zao linaloweza kumuinua mtu kiuchumi na kuamua kuacha hata ajila za serikalin kwa kua zao hili linavunwa mara mbil kwa msimu mmoja kutegemeana na huduma za shambani.
Ukihudumia vizuri shamba la hekari moja na nusu unaweza vuna kuanzia kg13600 Hadi 14000 ukizidisha kwa bei ya kg1 ambayo inacheza kuanzia 1200_1500 kwa hyo haipungua million 16 kwa mvuno mmoja ukizidisha mara mbili kwa kua huvunwa mara mbil kwa mwaka hazpungui million 30 kwa shamba la hekali moja na nusu. Ukiwa nashamba la hekali Tano ukipiga hesabu utaelewa kwahyo vijana tuchangamkie furusa cyo lazma wote tuajiliwe serikalin tunaweza kuajili watu pia.
Japo siyo mwandishi mzuri ila napenda ku-share na nyie Watanzania wenzangu kuwa zipo furusa nyingi za uwekezaji lakini baadhi yetu hatujui na hatujawahi fuatilia. Mkoa wa Dodoma ni maarufu kwa zao la zabibu na mm ni mmoja wa wakulima wa zao Hilo.
Kwa mazao ya kibiashara ninayo yajua mim naliweka namba 1 kwa kua zao linaloweza kumuinua mtu kiuchumi na kuamua kuacha hata ajila za serikalin kwa kua zao hili linavunwa mara mbil kwa msimu mmoja kutegemeana na huduma za shambani.
Ukihudumia vizuri shamba la hekari moja na nusu unaweza vuna kuanzia kg13600 Hadi 14000 ukizidisha kwa bei ya kg1 ambayo inacheza kuanzia 1200_1500 kwa hyo haipungua million 16 kwa mvuno mmoja ukizidisha mara mbili kwa kua huvunwa mara mbil kwa mwaka hazpungui million 30 kwa shamba la hekali moja na nusu. Ukiwa nashamba la hekali Tano ukipiga hesabu utaelewa kwahyo vijana tuchangamkie furusa cyo lazma wote tuajiliwe serikalin tunaweza kuajili watu pia.