Kilimo gani cha biashara kinakubali maeneo ya Rufiji?

Kilimo gani cha biashara kinakubali maeneo ya Rufiji?

Edgarmund

New Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Wanajamvi naombeni ushauri..,mimi ni mgeni kwenye masuala ya kilimo.Nina shamba langu la ekari 5 lipo maeneo ya BUNGU- Rufiji.Naomba kuuliza ni aina gani ya mazao ya biashara yanakubali ukanda ule? Nipo kwenye hatua za kuanza kujishughulisha na kilimo.
 
. Je shamba lako lina chanzo cha maji? kama ndio unaweza ukalima mazao mengi. mazao yanayoongoza kufanya vizuri ni mboga mboga na matunda ambayo yanachukua muda mfupi.
chunguza wakulima pembeni wanalima nini. na anza kulima wakati wa msimu huku ukiwa unatafuta zao lenye faida na ambalo soko liko vizuri
 
Rufiji tena? Huko mazao ndio kwenyewe, Yaani ni sawa na kuulizia mimba uswahilini
 
Back
Top Bottom