Huyu bhana,Hana Cha kupoteza km pesa anayo,anaweza kufanya hivi at high cost ambayo mtu mwingine asiweze,so ajifunze kwakwe alafu aende Sasa kwa wale wenye kipato Cha kawaida ndo ajifunze zaidiUkiwa na pesa kilimo utakiweza, lakini pata taarifa sahihi kwanza faida na changamoto zake.
Inasemekana hata hayo mashamba alijiNYAKULIA alivyokuwa Arasii IringaAmeonyesha.mfano hasa hata kama aliiba hela za umma lakini kafanya jambo. Huyu ni mfano wa kuigwa kwa vijana wenye fedha. Kwenye kilimo kinaendana na pesa. Hongera mzee wa kuwashwawashwa.
Kilimo cha bongo ukishakuwa na uhakika na soko we unalima ki boss sana tu. Sasa ushakula mkataba na Redgold uwazalishie pilipili na nyanya unakosaje hela?😀Ukiwa na pesa kilimo utakiweza, lakini pata taarifa sahihi kwanza faida na changamoto zake.
Thank you ndugu..nilitaka kujua kalima wapi ila zimekuja comment jamaa ni mwizi hahahaHadi mda huu hakuna aliyejibu swali...n kwamba jama kawekeza mkoa wa iringa...unapoelekea uwanja wa ndege wa nduli mbele mbele hv... nowadays kawa mtu powaa sn
Khabari zenu wakubwa.
Kuna huyu jamaa wa kuitwa ALLY HAPI aliewahi kuwa mkuu wa wilaya Kinondoni, Aliwahi kuwa mkuu wa mkaa wa Iringa kama sikosei,ila kwasasa sio tena mwanasiasa ni baada ya mama samia kumuondoa kwenye hayo mdaraka.
Hizi siku mbili tatu kaibuka analima balaa ana mashamba makubwa, Kilimo chake cha kisasa nimevutiwa nacho sana,japo ni kwa picha ila picha inajieleza jamaa anavyojituma.
Natamani kujua kwa anayejua je huyu jamaa anafanyia wapi kilimo chake kwa hapa Tanzania.
View attachment 2555593View attachment 2555594View attachment 2555595View attachment 2555596View attachment 2555597View attachment 2555598
Jichanganye ulime ndio utaamini kilimo sio uti wa mgongo wa taifa.
Ukishaona picha zinakuwa nyingi, jua kuna kitu hakiko sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Real estates zake ziko wapu mkuu??Hapo tunapotezwa maboya ,tunapigwa ndoige na mapicha picha ili usije kuhoji inakuwaje kashaondoka kwenye ukuu wa mkoa lakini bado ana pesa? Sasa ilo swali linazimwa na kwamba jamaa siku hizi amewekeza kwenye kilimo na anapata pesa sana.
Huyu dogo hata asipolima pesa alizozipiga enzi za mwenda zake ni nyingi sana,amewekeza sana kwenye real estate!
Real estates zake ziko wapu mkuu??
Tutajie some mr. Kong!Nazijua za Dar Mkuu.
Inaonesha kilimo hicho kilianza tangu akiwa RC. Ni muda mfupi umepita baina ya kutolewa ukuu wa mkoa na kuonesha mafanikio ya shambani.