Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipotoshe humu ndani binafsi mafanikio niliyonayo ni ķutokana na kilimo,changamoto zipo popote paleJichanganye ulime ndio utaamini kilimo sio uti wa mgongo wa taifa.
Ukishaona picha zinakuwa nyingi, jua kuna kitu hakiko sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kilimo kinalipa sanaAlly anafanyia kilimo mtandaoni na anaonyesha upande wa mafanikio tu. Haonyeshi upande wa magumu anayokuwa anakutana nayo
Tunajua, ukiwa inspired by Pablo EscobarKilimo kinalipa sana
Acheni kutisha watu vijana wanapata pesa kwenye kilimo kuna dogo pale lukuledi kapiga milion 9 za nyanya na ana vitunguu kama gunia 70 kazihifadhi hivi mtu kama huyu akisoma Comment yako humu si atakuonna wewe ni mwehu?Jamaa mtaji alijichotea , kwa status yake vikwazo kibao vya kimamlaka anavivuka , sjui vibali vya hapa na pale mara tozo , na masoko ya nje anayafikia fresh tuu , lazima apige pesa....asa we mkrungwa jichanganye bila kujipanga ndo utajua hujui
Gunia 70 unazipata kwa mtaji wa sh ngapi ? Niambie alaf nikujibuAcheni kutisha watu vijana wanapata pesa kwenye kilimo kuna dogo pale lukuledi kapiga milion 9 za nyanya na ana vitunguu kama gunia 70 kazihifadhi hivi mtu kama huyu akisoma Comment yako humu si atakuonna wewe ni mwehu?
Wastani wa milion 2.5Gunia 70 unazipata kwa mtaji wa sh ngapi ? Niambie alaf nikujibu
Analima mkoa gani..