ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
wana jf salam.
mimi ni kijana ambaye nategemea kuingia mtaani siku chache zijazo(nipo kdt cha 6)
kati ya sekta ambazo nafikiria kuwekeza ni katika kilimo kwani baba alipoondoka ardhi ndo rasmali kubwa aliyoiacha.
kutokana na kwamba nililelewa dar nina ufaham mdogo sana kuhusu kilimo ndo maana imenibidi kuwauliza ndugu zangu ili nijue la kufanya mara tu ninapomaliza elimu yangu ya sekondari na nitakapokuwa naendelea na elimu ya juu.
mashamba hayo yapo mkoani kagera wilaya ya ngara hivyo anayefahamu kuhusu kilimo hasa kwa maeneo husika naomba unifahamishe ili nijue la kufanya,
natanguliza shukurani.
mimi ni kijana ambaye nategemea kuingia mtaani siku chache zijazo(nipo kdt cha 6)
kati ya sekta ambazo nafikiria kuwekeza ni katika kilimo kwani baba alipoondoka ardhi ndo rasmali kubwa aliyoiacha.
kutokana na kwamba nililelewa dar nina ufaham mdogo sana kuhusu kilimo ndo maana imenibidi kuwauliza ndugu zangu ili nijue la kufanya mara tu ninapomaliza elimu yangu ya sekondari na nitakapokuwa naendelea na elimu ya juu.
mashamba hayo yapo mkoani kagera wilaya ya ngara hivyo anayefahamu kuhusu kilimo hasa kwa maeneo husika naomba unifahamishe ili nijue la kufanya,
natanguliza shukurani.