Kilimo kinalipa? au niwaze mambo mengine!

kama mzazi wako aliacha mashamba mengi uza hata mawili thena uanze kukusanya mazao na upeleke dar au dodoma inalipa zaidi,,, kilimo ni kigumu na inatakiwi ushiriki kwa asilimia kubwa sizani kama uko tayari.
 
Kama ni ngara lima maharage,utaalam uliza majirani zako ndo watakuwa na ufaham wa maeneo hayo
 

Noted mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…