Kilimo kinalipa Sana if and only if tukiweka Bidii na ufatiliaji wa karibu

Kilimo kinalipa Sana if and only if tukiweka Bidii na ufatiliaji wa karibu

Aggrey sallah

Member
Joined
Sep 15, 2022
Posts
31
Reaction score
45
Salaam, Bila shaka ninyi wote ni wazima wa Afya. Nimekuwa mdau lakn pia mkulima kwa muda mrefu Sana, nimekuwa nikiona ups and downs katika Kilimo na hii imenipa Kujifunza mengi ikiwemo makosa yanayofanyika mara kibao katika Kilimo.

Najua fika wapo vijana au wadau wengi Sana ambao Wana Mahaba na kilimo ila tuu , nafanyaje? Naanzia wap? Natoa wapi eneo? N.k yamekuwa maswali magumu Sana kwako, bila choyo na kama uko seriously nitafute WhatsApp (+255756501929) tuone best way ya kushikana katika Kilimo na kuExcell Pamoja.


Notebene: kama kuna wadau tunaweza kushirikiana kulima hata Hectares 10+ zipo, karibuni.
Location ni Pwani.
 
Kina lipaje? Sijaona kilipo lipa kama TITLE ya uzi huu.
Asante
 
Back
Top Bottom