Kilimo kinalipa wanangu wa NETO

Kilimo kinalipa wanangu wa NETO

mrED

New Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
3
Reaction score
3
Kilimo kinalipa wanangu wa NETO njooni tujaribu nahuku sasa kama kule kumegoma inakuaje mfano mpaka sasa hatuelewi kama oral tulifaulu au tumefeli.

Majibu tuliyo nayo niya written tu
 
Popote mkuu inategemeana na nini unataka kulima chekecha ubongo
 
Bora ukae TU ulime maana hata ukiingia kwenye ualimu hakuna chochote cha maana utakachokipata.
Kwa mjasilia mali a anapata fursa ya kukopesheka. Sema walimu wengi hawana hulka ya ujasilia mali. Mtaani mtu akukope milioni 2 we! utakoma ,benki ndio haziwaamini vijana.
Ila ni aibu kulilia ajira wakati hukusoma kwa mkataba wa kuajiriwa, ulichagua kusoma mwenyewe wala serikali haikukulazimisha.
Wanasiasa wetu nao ni kama waoga, wanatingishwa imagine ndiio angekuwa TRUMP au PUTIN anakabiliwa na unemployed graduate.
 
Kwa mjasilia mali a anapata fursa ya kukopesheka. Sema walimu wengi hawana hulka ya ujasilia mali. Mtaani mtu akukope milioni 2 we! utakoma ,benki ndio haziwaamini vijana.
Ila ni aibu kulilia ajira wakati hukusoma kwa mkataba wa kuajiriwa, ulichagua kusoma mwenyewe wala serikali haikukulazimisha.
Wanasiasa wetu nao ni kama waoga, wanatingishwa imagine ndiio angekuwa TRUMP au PUTIN anakabiliwa na unemployed graduate.
Ni ukweli siusemei vibaya maana hata Mimi umenipa mtaji, nipo kigoma huku ninamiliki mashamba ambayo isingekua ajira nisingeyapata, Kuna fursa naiona ambayo isingekua ajira nisingeiyona, kwahiyo Kila kitu kina faida na hasara zake.
 
Ila ni aibu kulilia ajira wakati hukusoma kwa mkataba wa kuajiriwa, ulichagua kusoma mwenyewe wala serikali haikukulazimisha.
Hii kidogo haiko sawa, au ni kejeli ya kijinga. Mara nyingi kauli hizi zinatolewa na watu waliopata advantages flani either za kifamilia,serikali taasisi n.k halafu wakajisahau.

Mimi sio mwalimu, lakini nawaelewa wanaolalamika na kulalamikia ajira, hasa kwa kuzingatia nature ya nchi hii ambayo bado ni masikini.

Bado mazingira ya mtu kujiajiri sio rafiki na nafasi za kuajiriwa ni chache. Halafu unarudi kuthibitisha ni shibe tu zinakusumbua pale unapokiri kuwa hawakopesheki na mtaani mtu kumpa mtu mkopo kama 2m ni mtihani.

Jiulize wewe tu katika ukoo na ndugu zako hakuna mtu hana ajira na amewahi kukucheki na ukashindwa kumpa hata laki 3 tu tena anaomba umkopeshe atarudisha?

Watu wenye roho mbaya uzeeni huwa mnapata hayo mavisukari, ma cancer na magonjwa ya bill kubwa. KUFURU NA LAANA TUPU
 
Kilimo kinalipa wanangu wa NETO njooni tujaribu nahuku sasa kama kule kumegoma inakuaje mfano mpaka sasa hatuelewi kama oral tulifaulu au tumefeli.

Majibu tuliyo nayo niya written tu
Ardhi yenyewe wamejimilikisha wakubwa, unaipataje? Wanakukodiishha kwa gharama kubwa, fedhaa ya kukodi unaipata wapi?
 
Kwa mjasilia mali a anapata fursa ya kukopesheka. Sema walimu wengi hawana hulka ya ujasilia mali. Mtaani mtu akukope milioni 2 we! utakoma ,benki ndio haziwaamini vijana.
Ila ni aibu kulilia ajira wakati hukusoma kwa mkataba wa kuajiriwa, ulichagua kusoma mwenyewe wala serikali haikukulazimisha.
Wanasiasa wetu nao ni kama waoga, wanatingishwa imagine ndiio angekuwa TRUMP au PUTIN anakabiliwa na unemployed graduate.
Putin au Trump ni mbali sana... Sema ingekuwa zile zama za Jiwe😆😆😆
 
Kilimo kinalipa wanangu wa NETO njooni tujaribu nahuku sasa kama kule kumegoma inakuaje mfano mpaka sasa hatuelewi kama oral tulifaulu au tumefeli.

Majibu tuliyo nayo niya written tu
Kilimo ukiweka dedication na practice kinalipa
 
Hii kidogo haiko sawa, au ni kejeli ya kijinga. Mara nyingi kauli hizi zinatolewa na watu waliopata advantages flani either za kifamilia,serikali taasisi n.k halafu wakajisahau.

Mimi sio mwalimu, lakini nawaelewa wanaolalamika na kulalamikia ajira, hasa kwa kuzingatia nature ya nchi hii ambayo bado ni masikini.

Bado mazingira ya mtu kujiajiri sio rafiki na nafasi za kuajiriwa ni chache. Halafu unarudi kuthibitisha ni shibe tu zinakusumbua pale unapokiri kuwa hawakopesheki na mtaani mtu kumpa mtu mkopo kama 2m ni mtihani.

Jiulize wewe tu katika ukoo na ndugu zako hakuna mtu hana ajira na amewahi kukucheki na ukashindwa kumpa hata laki 3 tu tena anaomba umkopeshe atarudisha?

Watu wenye roho mbaya uzeeni huwa mnapata hayo mavisukari, ma cancer na magonjwa ya bill kubwa. KUFURU NA LAANA TUPU
Kwa hiyo na wewe unaona Wana HAKI YA KULILIA AJIRA YA UALIMU?
 
Hii kidogo haiko sawa, au ni kejeli ya kijinga. Mara nyingi kauli hizi zinatolewa na watu waliopata advantages flani either za kifamilia,serikali taasisi n.k halafu wakajisahau.

Mimi sio mwalimu, lakini nawaelewa wanaolalamika na kulalamikia ajira, hasa kwa kuzingatia nature ya nchi hii ambayo bado ni masikini.

Bado mazingira ya mtu kujiajiri sio rafiki na nafasi za kuajiriwa ni chache. Halafu unarudi kuthibitisha ni shibe tu zinakusumbua pale unapokiri kuwa hawakopesheki na mtaani mtu kumpa mtu mkopo kama 2m ni mtihani.

Jiulize wewe tu katika ukoo na ndugu zako hakuna mtu hana ajira na amewahi kukucheki na ukashindwa kumpa hata laki 3 tu tena anaomba umkopeshe atarudisha?

Watu wenye roho mbaya uzeeni huwa mnapata hayo mavisukari, ma cancer na magonjwa ya bill kubwa. KUFURU NA LAANA TUPU

Kuna watu wengine huwa wanaongea km wanatumia asshole mkuu, unaweza kuwaignore lakini nafsi inakataa!
 
Kilimo hiki hiki au kuna kingine?
 
Back
Top Bottom