Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Mara hii annually imekuwa yearly.
Kiingereza cha mchongo kama ilivyo habari ya mchongo,
Note: Mimi mkulima na nimeanza kuwa mfugaji kiwango cha kuitwa mwekezaji.
Utajua mwenyewe
 
Hatuna shida na u billionaire Wala juhudi zake na ni jambo zuri kuwa na malengo makubwa.

Shida ni makeke yake wakati Bado hajafikia huko anapotaka kufika.
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama walivyopiga vijana pesa za ufuta msimu uliopita yaani duhhhh....kuna dogo alipiga milion 27 halafu hata miaka 28 hana yaaani hatari aisee
 
We ndio ulienda milembe


 
Achana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.

Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
Alafu kuna sele mtoto wa mzee Jabile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Undava undava
 
Njooni na mashoka tung'oe visiki huku kwenye mashamba pori; tuzitumie hizi mvua za mafuriko kwa faida
 
Ila mtoto idd kiboko yao mpk wanga wamekula kiboga 🀣🀣🀣🀣
Mtoto iddi nux, mtaalamu wa kupenya dirishani, aliwahi kumuibia mpaka majani.
πŸ˜‚πŸ€£
 
Mtoto iddi nux, mtaalamu wa kupenya dirishani, aliwahi kumuibia mpaka majani.
πŸ˜‚πŸ€£
Ye kila siku kesi haziishi mahamakani
Napita kona naona kundi la watu, wamembeba idd kaiba viatu vya watu 🀣🀣🀣
Iddi pasua kichwa aiseee!! Hii nyimbo kiroboto aliimba
 
Enzi hio iddi alizua balaa.
Ye kila siku kesi haziishi mahamakani
Napita kona naona kundi la watu, wamembeba idd kaiba viatu vya watu 🀣🀣🀣
Iddi pasua kichwa aiseee!! Hii nyimbo kiroboto aliimba
 
Vijana kilimo sio cha maskini. Lima ukiwa na hela tu.

Nishawahi andika humu, nililima mara ya kwanza nikapiga hela nzuri. Mara zingine zote, nimeliwa kichwa, 3 times in a row.

Huyu dogo asiwafunge anajitambulisha tu humu.
 
Tueleze unafanya kilimo cha Nini. Kuchamba haisaidiii, between kila mtu Ana timeline yake hapa duniani. Otherwise Hongera sana
 
Siyo kila mtu anaweza kuthubutu kulima bangi mkuu. Wewe umejitoa sadaka-liwalo na liwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…