Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Ushapoteana....
Miaka 27 bado unaingiza 50M? Ujana wako wote umeuchezea sasahivi unakuja kutupigia kelele hapa? Unadhani kuna mtu hata mmoja unamzidi humu JF?

Mtoa mada anasumbuliwa na tatizo la ukosefu wa lishe bora.
 
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?

Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?

Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?

Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni

Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
samawani bilionea unajishugulisha na kilimo cha. zao gan?
 
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?

Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?

Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?

Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni

Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Isije ikawa ugonjwa wa akili umerudi aisee....
Screenshot_2023-11-07-20-03-17-773_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2023-11-07-20-03-17-773_com.android.chrome.jpg
 
Wacha usiwastue waendelee kuimbishwa porojo na Machadema watagawiwa pesa [emoji38][emoji1787]

Mwisho japo umeweka chumvi nyingi ila msipotoka awamu ya Samia hutoki tena.
Kwani awamu ya samia ipoje mkuu?
 
Ushapoteana....
Miaka 27 bado unaingiza 50M? Ujana wako wote umeuchezea sasahivi unakuja kutupigia kelele hapa? Unadhani kuna mtu hata mmoja unamzidi humu JF?

Mtoa mada anasumbuliwa na tatizo la ukosefu wa lishe bora.
😂 vimaskin vya bongo ni shida
 
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?

Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?

Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?

Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni

Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-11-07-20-04-09-069_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2023-11-07-20-04-09-069_com.android.chrome.jpg
    215.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_2023-11-07-20-03-44-463_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2023-11-07-20-03-44-463_com.android.chrome.jpg
    223.5 KB · Views: 9
Awazavyo mtu ndivyo alivyo , pambana kijana , ipo siku utafikia kilele cha ndoto zako.
 
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani Anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae Na hafananii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Longo longo nyingi Yahaya unaishi wapiKwani jina lako halisi nani Yahaya eeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh yahaya
Umenikumbusha ngoma ya ngapulilah ya vijana jazz bonge la ngoma mzee.
 
Awazavyo mtu ndivyo alivyo , pambana kijana , ipo siku utafikia kilele cha ndoto zako.

Hatuna shida na u billionaire Wala juhudi zake na ni jambo zuri kuwa na malengo makubwa.

Shida ni makeke yake wakati Bado hajafikia huko anapotaka kufika.
 
Back
Top Bottom