- Thread starter
- #21
Tangazo la nini.mkuu?Haka katangazo umekaweka kitaalam sana Afsa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangazo la nini.mkuu?Haka katangazo umekaweka kitaalam sana Afsa!
Pm mkuu ipo waziHongera mkuu..........tupe madini na sisi tuzame
Pori huko tupige hela
Nyie ndiyo ambao nimewazungumzia majungu na uzandiki,hovyoo kabisaAkili za kivulana hizi.
Elezea unalima nini vipi kuhusu changamoto na soko la mazao unayolima?
Unafungua uzi kujisifia una pesa benki?
Kijana grow up!!
ipo wazi mkuuBillionea unalima kilimo gani mkuu
Pm mkuu ipo waziHongera boss tupe tips mkuu aise
Naelekea hukoMilioni 50 tu tayari umekuwa bilionea!
HahaWe yako umetia giligilan, mdalasini, hiriki, pilipili NGWALA.
Bora yako 😂🤣
Endelea kuamini ni utoto mkuuutoto raha,
Sikulazimishi kuaminiWe yako umetia giligilan, mdalasini, hiriki, pilipili NGWALA.
Bora yako 😂🤣
Pm ya NyokoPm mkuu ipo wazi
Kasoro mimi tuIn jamiiforums, everyone is a millionaire, has a car, has a good life and can satisfy any woman in bed.
Well it's astonishing and egoistic.
Nikuonyeshe wewe kama nani? Uniroge endeleeni na majungu hapo manzese Tip topUna 150m halafu eti bilionea. Bilionea wa nyoko? Onyesha hiyo bank statement
Pia aseme akitoa matumizi anabakia na ngapi?!Akili za kivulana hizi.
Elezea unalima nini vipi kuhusu changamoto na soko la mazao unayolima?
Unafungua uzi kujisifia una pesa benki?
Kijana grow up!!
Sawa chiefAchana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.
Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.
😂🤣😂🤣🤣
Hongera yakoMbona ndogo sana.
Mwenzio napiga bilioni 1 kwa wiki kwa biashara ya mihogo ya kuchoma
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app