Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Bilionaire kekeman hongera mway kwa juhudi zako na ujitahidi siku ingine mwaya , usisikilize maoni ya wakina jf utakata tamaa heri ya mwak mwaya na Mungu atupe mwaka mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki,majungu na roho mbaya haikufanyi uwe utajiri mbwa wewePm ya Nyoko
Wazee wa majungu mbwa nyie
Sina hizo.time za kuwasikilizaBILLIONAIRE kekeman hongera mway kwa juhudi zako na ujitahidi siku ingine mwaya , usisikilize maoni ya wakina jf utakata tamaa heri ya mwak mwaya na Mungu atupe mwaka mwingine
Mimi ni mmakonde chiefIla wahaya mna mambo kweli!
Endelea drama na realityUnaendeleaje lakini baada ya kuruhusiwa kutoka MIREMBE HOSPITAL
Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa. Nilikuwa napata mood...www.jamiiforums.com
Ugonjwa wake umeanza tenaUnaendeleaje lakini baada ya kuruhusiwa kutoka MIREMBE HOSPITAL
Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa. Nilikuwa napata mood...www.jamiiforums.com
Utakuja kuliwa ushangae 🤣Akionesha bank statement yenye 150M namtumia 2M Cash
Kabisa aelezee kilimo gan analima?Akili za kivulana hizi.
Elezea unalima nini vipi kuhusu changamoto na soko la mazao unayolima?
Unafungua uzi kujisifia una pesa benki?
Kijana grow up!!
Milioni 150 kwenye account zinafanya kazi gani?Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani Anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae Na hafananii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Longo longo nyingi Yahaya unaishi wapiKwani jina lako halisi nani Yahaya eeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh yahayaAchana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.
Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.
😂🤣😂🤣🤣