Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ipo benk tu mkuuPia aseme akitoa matumizi anabakia na ngapi?!
Shukrani chiefHongera bilionea
Acheni kumkatisha tamaa jamaa kuna watu wanaitafuta hiyo mwaka mzima na hawipatiMilioni 50 tu unaifungulia uzi, bora kila mwezi kumbe mwaka mzima, pesa ya kawaida sana.
Wazee wa majungu najua nyie.hamkosiPorojo?
Ndiyo ambao nimewazungumzia wazee wa majungu wala hawanipi tabuAcheni kumkatisha tamaa jamaa kuna watu wanaitafuta hiyo mwaka mzima na hawipati
Hizo timu ndiyo zinawapa kula?Tuko hapa tunabishana kuhusu simba na yanga
Nimuombe bwege kama nyie ushauri?We mtoto hawa wazandiki wasio na aibu unadhani watakuamini???
Labda uwaambie una laki moja unataka uanzishe biashara wakushauri!!
Tena ushauri wao ni "tafuta hela dogo hiyo ni ya chai tu"
Kifupi msimamo wao ni dhahifu na hawana maana!!😃😃😃
OkTajiri vimbao huyu.Maneno kidogo ,vimbao vingii.
ShukraniHongera!
Endelea.kufi r w a hapo manzesePm ya Nyoko
YupiBado yule jamaa hajaja
Anapulizia maua perfume apate nyuki kirahisi.. 😂🤣Haha
Huyu babu anatupa chai kavu kizembe tu yan kisa ameona kuna manyunyu
Moderator peleka hizi jokes ChitChatNikuonyeshe wewe kama nani? Uniroge endeleeni na majungu hapo manzese Tip top