Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

We mtoto hawa wazandiki wasio na aibu unadhani watakuamini???

Labda uwaambie una laki moja unataka uanzishe biashara wakushauri!!

Tena ushauri wao ni "tafuta hela dogo hiyo ni ya chai tu"

Kifupi msimamo wao ni dhahifu na hawana maana!!😃😃😃
Nimuombe bwege kama nyie ushauri?
 
Haha
Huyu babu anatupa chai kavu kizembe tu yan kisa ameona kuna manyunyu
Anapulizia maua perfume apate nyuki kirahisi.. 😂🤣

Hali ya hewa hii imebidi AMBUNI BWINU kumradhi abuni mbinu 😂🤣
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom