Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kupoteza nauli ni vizuri kufanya hivyo,la sivyo utakuja kupata majuto zaidi ya hayo ya kupoteza nauli,nenda kajionee yalinikuta kwa kutaka kurahisisha mambo!nabak njia panda,sikutaka kupoteza naul kumbe itabidi2
magonjwa kwa mazao ni mengi mno,sehemu kubwa ni mchanga,vibarua wavivu ila wanapenda pesa,ikifika march panda mpunga usilime zao tofauti miezi hiyo,chatu ni wengi,ushirikina upo,masika utatia wake za watu hata kwa buku mbiliHabr naweza wasiliana na wewe kiundani kuhusu kilimo maeneo ya huko mkuranga? Nipo dar.
Yuko sahihi mkuu, mie juzi nimetoka moja ya vijiji vya wilaya hiyo kuna shamba nilinunua, usalama kwa sasa mbona upo mkubwa kbs iseee! Masika tatizo ni usafiri tu kwa baadhi ya maeneo.Kichakoro umenitia moyo sana ngoja tuone
Mkaa upo mwingi sana isee. Huwa naona pikipiki zinabeba 24hrs kutokea upande wa kijiji cha kibudiinaonekana kunamapoli makubwa,vip upatikanaji wa mkaa, wanachoma? na hayo mauaji mbona yanataka kufanana na ya mkoa wa MARA?
Masika utatia wake za watu hata kwa buku mbili!!magonjwa kwa mazao ni mengi mno,sehemu kubwa ni mchanga,vibarua wavivu ila wanapenda pesa,ikifika march panda mpunga usilime zao tofauti miezi hiyo,chatu ni wengi,ushirikina upo,masika utatia wake za watu hata kwa buku mbili
ukitaka vibarua usichukue watu wa pwani chukuq wasukuma au waha na wapo w kutoshaMasika utatia wake za watu hata kwa buku mbili!!
kukodi au kununuaNahitaji shamba huko, napata kwa bei gani!??
Njoo nikuuzie Nina zaidi ya heka 50Nahitaji shamba huko, napata kwa bei gani!??