Kilimo na biashara ya mahindi ya kuchoma

Kilimo na biashara ya mahindi ya kuchoma

Nakukunda

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
876
Reaction score
1,643
Habari wana JF wenzangu,

Katika harakati za kupambana na maisha nawaza kulima kilimo cha mahindi ya kuchoma.

Naomba kujua undani wa kilimo hicho na kuhusu masoko ili nifanye research ya soko kabla sijaanza.

Natamani kufanya kilimo cha umwagiliaji.

Nipo Arusha.

Mungu awabariki
 
Maadam yanaliwa utachelewa kupata majibu zama faster
 
Na mimi nina plan ya kufanya hicho kilimo, kwa huku dsm naona mahindi ya kuchoma, yanaliwa sana.

Ni chek PM tuyajenge
 
Back
Top Bottom