Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

hongera sana mkuu nami nimeingia kwenye kilimo nimepanda eka 62 ina mwaka sasa inshaAllah tuombe uzima..but hiyo attachment haifunguki kwangu
 
Kuna michepuko yangu ya zamani imehamia tanga huko. Pangani.
Kumbe ina hela.ngoja niwapige mizinga.
 
Kazi nzuri Sana.Kama kuna group la WhatsApp la Value Chain ya Mkonge tushirikishane Nina Wadau wangu Wanalima Mkonge Handeni watajoin.
 
hongera sana mkuu nami nimeingia kwenye kilimo nimepanda eka 62 ina mwaka sasa inshaAllah tuombe uzima..but hiyo attachment haifunguki kwangu
Umepanda kwa mara moja? Umejiandaaje kwa ajili ya usafi? Una tractor lenye slasher? Au boom sprayer kwa ajili ya herbicides? Kumbuka kazi kuu palizi.... ukitegemea manpower lazima udate
 
Umepanda kwa mara moja? Umejiandaaje kwa ajili ya usafi? Una tractor lenye slasher? Au boom sprayer kwa ajili ya herbicides? Kumbuka kazi kuu palizi.... ukitegemea manpower lazima udate
Nina ekari Mia this time nina panda mbegu nije nihamishie,vipi kuhusu palizi mnafanyaga nini kurahisisha
 
Mungu akutunze mkuu. Nimeongeza kitu kikubwa
 
Nina ekari Mia this time nina panda mbegu nije nihamishie,vipi kuhusu palizi mnafanyaga nini kurahisisha
Kama uwezo wako ni mdogo anda kupanda chache chache sije ukaupoteza shamba, palizi hutegemea na ulipo na namna ardhi inavyofanya ila mkonge mdogo unapaliliwa kama mahindi tu angalau ukifikisha miaka 2 unaweza anza fyekea tu
 
Kama uwezo wako ni mdogo anda kupanda chache chache sije ukaupoteza shamba, palizi hutegemea na ulipo na namna ardhi inavyofanya ila mkonge mdogo unapaliliwa kama mahindi tu angalau ukifikisha miaka 2 unaweza anza fyekea tu
Kuna mdau ameniambia madalali kwenye soko la mauzo Wana Rudisha nyuma wakulima, wanakuibia Sana kiasi wao ndio Wana tajirika
 
Umepanda kwa mara moja? Umejiandaaje kwa ajili ya usafi? Una tractor lenye slasher? Au boom sprayer kwa ajili ya herbicides? Kumbuka kazi kuu palizi.... ukitegemea manpower lazima udate
nimepanda kwa mara moja shamba lote na palizi nafanya kwenye miraba kwa mkono uzuri nipo karibu na estate ya METL so nguvu kazi napata kupitia hapo na kwa sasa narudia mbegu ambazo hazijakaa vizuri nimejipanga kaka Alhamdulilah
 
nimepanda kwa mara moja shamba lote na palizi nafanya kwenye miraba kwa mkono uzuri nipo karibu na estate ya METL so nguvu kazi napata kupitia hapo na kwa sasa narudia mbegu ambazo hazijakaa vizuri nimejipanga kaka Alhamdulilah
Hongera sana mkuu,endelea kutupa updated tuzidi kuimarika km darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…