taikuny JF-Expert Member Joined Jan 2, 2016 Posts 1,207 Reaction score 715 Dec 19, 2022 #1 Aya marofa wenzangu turudi mjini kupumnzika na kuukarisha mwaka
MUBENDE JF-Expert Member Joined Nov 11, 2022 Posts 1,111 Reaction score 1,879 Dec 22, 2022 #2 taikuny said: Aya marofa wenzangu turudi mjini kupumnzika na kuukarisha mwaka View attachment 2451522 Click to expand... Mkuu tunaomba mwongozo juu ya ufugaji wa kuku hao nahitaji hii mbegu tafadhali.
taikuny said: Aya marofa wenzangu turudi mjini kupumnzika na kuukarisha mwaka View attachment 2451522 Click to expand... Mkuu tunaomba mwongozo juu ya ufugaji wa kuku hao nahitaji hii mbegu tafadhali.
M Marytina JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 9,585 Reaction score 7,766 Dec 23, 2022 #3 Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu
Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu
MUBENDE JF-Expert Member Joined Nov 11, 2022 Posts 1,111 Reaction score 1,879 Dec 23, 2022 #4 Marytina said: Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu Click to expand... Naomba utusaidie kutufafanulia kwanini unasema ufugaji wa kuchi hauna faida?
Marytina said: Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu Click to expand... Naomba utusaidie kutufafanulia kwanini unasema ufugaji wa kuchi hauna faida?
kallenge JF-Expert Member Joined Mar 5, 2021 Posts 623 Reaction score 606 Dec 23, 2022 #5 Marytina said: Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu Click to expand... [emoji28][emoji28][emoji28]
Marytina said: Picha sio ya mfugaji ni mtuza wanyama. Hamna faida yeyote ya kufuga kuchi. Ufugaji unalipa ila kilimo sijaona kikimlipa mtu Click to expand... [emoji28][emoji28][emoji28]