DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Kilinge cha dj sepetu kitakujia kila wiki mara mbili! Wiki hii kilicho trend zaidi katika social networks kibao bongo ni kuhusiana na mahusiano ya master Wa bongo movie;Ray na chuchuuu hanz!
Unajua nini kime happen!
Ni kuwa inaonekana Kila mtu yupo kivyake na maisha yake!
Kwa mujibu Wa shilawadu ni kuwa ray ndo ana mamlaka zaidi kuhusu mtoto!chuchu amemuachia kila kitu ray kuhusu dogo!
Je wajua kuwa mamake chuchu ni mzungu!
Ndo hivyo!
Kasheshe ya Leo!
Mvua zazua kasheshe
Sikia hii
Baba:haloo mke wangu ,yaani ni shida sitaweza kurudi nyumbani daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi Dar haiwezekani.
Mama:mume wangu morogoro bila kuniaga!?
Baba:ilikuwa ghafla sana mke wangu sikuweza kukuambia
Mama:kha! sasa watoto nani atawaangalia!
Baba:unasemaje we uko wapi kwani!
Mama:Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi!
Baba:unasemaje we mwanamke!! Nasema nikukute nyumbani ndani ya dakika 15!
Baada ya dakika 15 nyumbani
Mama:haya umefikaje kutoka morogoro
Baba:nimepewa lift na helicopter ya mbowe!
Unajua nini kime happen!
Ni kuwa inaonekana Kila mtu yupo kivyake na maisha yake!
Kwa mujibu Wa shilawadu ni kuwa ray ndo ana mamlaka zaidi kuhusu mtoto!chuchu amemuachia kila kitu ray kuhusu dogo!
Je wajua kuwa mamake chuchu ni mzungu!
Ndo hivyo!
Kasheshe ya Leo!
Mvua zazua kasheshe
Sikia hii
Baba:haloo mke wangu ,yaani ni shida sitaweza kurudi nyumbani daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi Dar haiwezekani.
Mama:mume wangu morogoro bila kuniaga!?
Baba:ilikuwa ghafla sana mke wangu sikuweza kukuambia
Mama:kha! sasa watoto nani atawaangalia!
Baba:unasemaje we uko wapi kwani!
Mama:Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi!
Baba:unasemaje we mwanamke!! Nasema nikukute nyumbani ndani ya dakika 15!
Baada ya dakika 15 nyumbani
Mama:haya umefikaje kutoka morogoro
Baba:nimepewa lift na helicopter ya mbowe!