Kilio cha akina Mama Kisutu kitaondoka na nafsi ya kiongozi mkubwa nchini

Kilio cha akina Mama Kisutu kitaondoka na nafsi ya kiongozi mkubwa nchini

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Tunaoamini Kwenye imani ya dini tunajua namna kilio Cha wanawake pale wanapodai haki kinavyoleta laana Kwenye familia. Haiwekani wale wakina Mama wakatoa machozi Yakapita bila kuleta madhara.

Ni maoni yangu tuombe toba hasa viongozi ambao machozi yalielekezwa kwako la sivyo tunakwenda kuondokewa na viongozi wetu kwa wao kukosa maarifa. Kilio kile kwa mtu Mwenye haki usikika na majibu utoka kwa haraka Sana.

Watoto mnaowapenda wazazi wenu msifurahie tu kuwaona Kwenye luninga wakijinasibu, msifurahie kuona mashangingi nyumbani Bali tumieni mbinu kuwaombea wazazi wenu maisha marefu maana msipowaombea toba mtawapoteza. Tumesema kiimani kwa kuwa tunaona namna viongozi walivyopigwa upofu. Mlilieni Mungu alainishe miyoyo ya wazazi wenu waachane na kibiri Cha maisha.

Viongozi mtakufa msipotubu, watoto mnakwenda kubaki yatima msipowaombea wazazi wenu toba nakuwaasa kusimamia haki.
 
Halima Mdee na wenzake 18 ni kina baba? Mbowe na wenzake nao watakufa.
 
Ulimwengu ni mwalimu korofi na katili tofouti na tunanavyomchukulia, na hakika wale wote waliokaa na kumbambikizia kesi ya ugaidi Mh. Mbowe ipo siku watakuja kulipa kama si wao basi wajukuu zao, niamini machozi na vilio vya watu wazima kama hawa huwa haviendi bure.
 
Ukiangalia hivi unaweza kudhani kwamba Mungu hana majibu au hawezi kutenda lolote lakini amini nawaambia, Mungu husikia maombi ya mwenye haki na huyajibu kwa Moto wakati wake utakapotimilika.
Bora afe tu hana maana yoyote
 
Watu mnatishiana vifo non stop au siyo?

Kuna vitu viwili ni lazima vitakuhusu kikubwa uwe umezaliwa, kulipa kodi na kufa.
 
Ulimwengu ni mwalimu korofi na katili tofouti na tunanavyomchukulia, na hakika wale wote waliokaa na kumbambikizia kesi ya ugaidi Mh. Mbowe ipo siku watakuja kulipa kama si wao basi wajukuu zao, niamini machozi na vilio vya watu wazima kama hawa huwa haviendi bure.
Majahili Mungu atayaumbua tu.
 
Back
Top Bottom