Kilio cha Fatuma Karume

Kilio cha Fatuma Karume

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Sir100 Hafanani na anachofanya kuna genge linamwingiza chaka ili afeli.wanawake mara nyng ni wagumu kusoma alama za nyakati.SAMIA NAKUSHAURI NAJUA UNAINGIA HUKU FUATA USHAURI WA EMANUEL NCHIMBI,aliponya majeraha ya wananch na waathirika kwa hotuba nzuri,ikifika weng wakamwita rais mtarajiwa.NAMI NASEMA KWA HILI LINALOENDELEA MNCHIMBI ANAFAA KUWA RAIS AJAYE 2025 ILI KUPONYA MIOYO YA WATU WALIOKOSA TUMAINI LA AMANI.
 
Eleweni, SSH kaendelea na kesi dhidi yangu.
Kapeleka application ya kuomba muda wa kupeleka rufaa ili kuchukuwa leseni yangu MILELE. Anataka nisiingia Mahakamani Milele!

Sijamtetea kwa sababu nataka LESENI. Hatonipa MILELE!

Niliamini ni mtu mwema. That’s all.

I was wrong.


View: https://x.com/fatma_karume/status/1837913087745179732?t=eP_Bxbn0VGjauS2e2ZzYeg&s=19

Fatma ni mnafiki kama wengine tu babu yake na baba yake wote waliendesha serikali kwa mkono wa chuma mbona hakiri hadharani!
 
Sir100 Hafanani na anachofanya kuna genge linamwingiza chaka ili afeli.wanawake mara nyng ni wagumu kusoma alama za nyakati.SAMIA NAKUSHAURI NAJUA UNAINGIA HUKU FUATA USHAURI WA EMANUEL NCHIMBI,aliponya majeraha ya wananch na waathirika kwa hotuba nzuri,ikifika weng wakamwita rais mtarajiwa.NAMI NASEMA KWA HILI LINALOENDELEA MNCHIMBI ANAFAA KUWA RAIS AJAYE 2025 ILI KUPONYA MIOYO YA WATU WALIOKOSA TUMAINI LA AMANI.
Akiingia huyo Nchimbi atakuwa hivihivi. Ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo kinapata tabu kukabiliana na ukweli.
 
Eleweni, SSH kaendelea na kesi dhidi yangu.
Kapeleka application ya kuomba muda wa kupeleka rufaa ili kuchukuwa leseni yangu MILELE. Anataka nisiingia Mahakamani Milele!

Sijamtetea kwa sababu nataka LESENI. Hatonipa MILELE!

Niliamini ni mtu mwema. That’s all.

I was wrong.


View: https://x.com/fatma_karume/status/1837913087745179732?t=eP_Bxbn0VGjauS2e2ZzYeg&s=19

20240924_073813.jpg
 
Sir100 Hafanani na anachofanya kuna genge linamwingiza chaka ili afeli.wanawake mara nyng ni wagumu kusoma alama za nyakati.SAMIA NAKUSHAURI NAJUA UNAINGIA HUKU FUATA USHAURI WA EMANUEL NCHIMBI,aliponya majeraha ya wananch na waathirika kwa hotuba nzuri,ikifika weng wakamwita rais mtarajiwa.NAMI NASEMA KWA HILI LINALOENDELEA MNCHIMBI ANAFAA KUWA RAIS AJAYE 2025 ILI KUPONYA MIOYO YA WATU WALIOKOSA TUMAINI LA AMANI.
Kama ameshindwa kung'amua au kutengua huo mtego, she should take all the blame.

Yaani hadi wewe ngumbaru usiyekuwa na intelijensia umejua hivi, yeye hajui? Hebu tuacheni utani bhana.

Tujifunzeni kuwajibika.

NB: Acha kuwachonganisa Samia na Nchimbi
 
Back
Top Bottom