Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eleweni, SSH kaendelea na kesi dhidi yangu.
Kapeleka application ya kuomba muda wa kupeleka rufaa ili kuchukuwa leseni yangu MILELE. Anataka nisiingia Mahakamani Milele!
Sijamtetea kwa sababu nataka LESENI. Hatonipa MILELE!
Niliamini ni mtu mwema. That’s all.
I was wrong.
View: https://x.com/fatma_karume/status/1837913087745179732?t=eP_Bxbn0VGjauS2e2ZzYeg&s=19
MM ni gumbaru ila sikio la kufa haisikii dawa.KILA MTU ALIELEWA HATA MAGUMBARU WALIELEWA NCHIMBI ALIPONYA TAIFAKama ameshindwa kung'amua au kutengua huo mtego, she should take all the blame.
Yaani hadi wewe ngumbaru usiyekuwa na intelijensia umejua hivi, yeye hajui? Hebu tuacheni utani bhana.
Tujifunzeni kuwajibika.
NB: Acha kuwachonganisa Samia na Nchimbi
Shida siyo CCM shida ni hao nyumbu. Wanadekadeka kama mwanamke anayetongozwa.Akiingia huyo Nchimbi atakuwa hivihivi. Ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo kinapata tabu kukabiliana na ukweli.
Fatuma ni mwehu tu,Wee kapuku unawezaje kumwambia Fatuma apambane na hali yake? Fatuma angechagua kuimba mapambio ya kusifu angekuwa waziri au balozi. Unawezaje kujiringanisha na mjukuu wa Rais lakini pia Mtoto wa Rais? Unadhani familia ya Samia au Mwinyi hata kama wanaondoka madarakani kuna hali yoyote wanapambana nayo kama wewe no....
Of-course nakubaliana na wewe lakini bado huwezi ukasema anapambana na hali yake. Watawala wa TZ kuanzia marais na mawaziri, ukiacha utawala wa Nyerere wote familia zao mpaka wajukuu hawana shida. Hujaona mtoto wa Mwigulu ambaya hata bado hajajua ni nini maana ya uongozi na kipato anaenda kutoa zawadi za smart phone kwa akina baba wenye familia zao na anapigiwa makofi.Fatuma ni mwehu tu,
Si ndio huyu alikuwa anatukana watu wakimpinga Samia?
Eleweni, SSH kaendelea na kesi dhidi yangu.
Kapeleka application ya kuomba muda wa kupeleka rufaa ili kuchukuwa leseni yangu MILELE. Anataka nisiingia Mahakamani Milele!
Sijamtetea kwa sababu nataka LESENI. Hatonipa MILELE!
Niliamini ni mtu mwema. That’s all.
I was wrong.
View: https://x.com/fatma_karume/status/1837913087745179732?t=eP_Bxbn0VGjauS2e2ZzYeg&s=19
Nikiliona nyumbu linahangaika namna hii baada ya kufeli mbinu zao chafu nacheeeeeka kweli kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣Awaandae hao polisi kumpigia kura. Nani ampigie kura mwanamke mtekaji, muuaji na asiye na Akili