Kilio cha Fatuma Karume

MM ni gumbaru ila sikio la kufa haisikii dawa.KILA MTU ALIELEWA HATA MAGUMBARU WALIELEWA NCHIMBI ALIPONYA TAIFA
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Nafurahia sana nikiona yale mataahira yaliyokuwa yanamsifia huyu mama eti ili kumkomoa Magufuli yakuwa yanqteseka.

Na bado
 
Akiingia huyo Nchimbi atakuwa hivihivi. Ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo kinapata tabu kukabiliana na ukweli.
Shida siyo CCM shida ni hao nyumbu. Wanadekadeka kama mwanamke anayetongozwa.
Wakiswa kidogo tu ......NABAAKWAAAAA!!!...kumbe si kweli
 
Fatuma ni mwehu tu,

Si ndio huyu alikuwa anatukana watu wakimpinga Samia?
 
Fatuma ni mwehu tu,

Si ndio huyu alikuwa anatukana watu wakimpinga Samia?
Of-course nakubaliana na wewe lakini bado huwezi ukasema anapambana na hali yake. Watawala wa TZ kuanzia marais na mawaziri, ukiacha utawala wa Nyerere wote familia zao mpaka wajukuu hawana shida. Hujaona mtoto wa Mwigulu ambaya hata bado hajajua ni nini maana ya uongozi na kipato anaenda kutoa zawadi za smart phone kwa akina baba wenye familia zao na anapigiwa makofi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…