chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Kilio kilio! Kinakaribia kuwa musiba.
Msaada unahitajika wa kimawazo tiba na ushauri! Ni mwaka takribani wa 3, kidudu kinasinyaa, hamu inapotea!
Nilichukua vipimo nikaambiwa homornal balance Iko vizuri!
Story Iko hivi! Tulitishiana na mdada baada ya kuona mienendo yake sio mizuri! Yeye aliniambia ataniachia ka kukojolea tu!
Baada ya hii changamoto nilimfuata nikamwambia akujibu kitu! Na sasa Yuko mbali mawasiliano tulipotezana!
Mwenye kujua Mbili Tatu , jinsi ya kutatua hii Shida, najua wapo waliowahi kukutana na hii changamoto
Msaada unahitajika wa kimawazo tiba na ushauri! Ni mwaka takribani wa 3, kidudu kinasinyaa, hamu inapotea!
Nilichukua vipimo nikaambiwa homornal balance Iko vizuri!
Story Iko hivi! Tulitishiana na mdada baada ya kuona mienendo yake sio mizuri! Yeye aliniambia ataniachia ka kukojolea tu!
Baada ya hii changamoto nilimfuata nikamwambia akujibu kitu! Na sasa Yuko mbali mawasiliano tulipotezana!
Mwenye kujua Mbili Tatu , jinsi ya kutatua hii Shida, najua wapo waliowahi kukutana na hii changamoto