Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Waache kutia hofu waamuzu.Kesho mechi ya simba na jkt refa atachezesha akiwa na hofu sana si ajabu simba wakapewa penati isio penat ilimradi tu asipate lawama.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Pale majini yalihusikaVipi Ile ya November 5, Yanga walibebwa kama kawaida yao?
Punguza utoto.Vipi Ile ya November 5, Yanga walibebwa kama kawaida yao?
Majini sasa yanayofugwa pale jangwani , ona kafara za damu za wanyama zinazofanyika pale.Boresheni timu tenu muache kulialia
Kwani umezuiwa na ww kufuga majini?Majini sasa yanayofugwa pale jangwani , ona kafara za damu za wanyama zinazofanyika pale.
Ata mimi sioni kama kuna mahali alikosea hadi yawe makelele.Tulifungwa goli halali nasisi tulifunga goli halali.mechi ilibalance kwa timu zote.Pale ndipo uwezo wa simba ulipoishia tunatafuta tu lawama wakati azam wangekua serious vyakutosha wangetukanda ata goli 3 kwasababu walipata nafasi nyingi za wazi zaidi kuliko za simba.Mnalazimisha Kayoko aonekane ana tatizo Mechi na Azam lakini mkiulizwa tukio alilokosea hamsemi.
Nimeuliza swali mkuuPunguza utoto.
Majini yapi? Yale yaliyowasha moto uwanjani shirikisho kule south?Pale majini yalihusika
Hizo ni shirki kazi za Wachawi wa Jangwani.Kwani umezuiwa na ww kufuga majini?
Pole sana mkuu.Ila unaweza tu kuchomoa.Huyu wanatakiwa wamfukuze kabisa sio adhabu..mimi nilishasema timu mbovu inaweza kuchukua kombe ligi kuu kwasababu uduni,rushwa na mbereko za waamuz,mfano mechi pia ya kagra na yanga,mashujaa na yanga waamuzi wameamua kuibeba yanga wazi wazi,na hili linachangiwa na waamuzi wa bahasha,uwezo duni,na ushabiki wa kimavx,maelekezo ya wanasiasa n.k,kwa hiyo makombe mengi aliyochukua yanga niyawaamuzi sio ya yanga kama yanga.
Kipimo cha timu bora na kubwa nchini ni timu ambayo inafanya vizuri katika league za kimataifa kwasababu inachezeshwa na waamuzi bora na wenye uweledi mkubwa na zinacheza na timu kubwa na bora barani Africa na timu hiyo ni Simba sc tu.
Haya hapa msikilize semaji lakoMajibu yapi? Yale yaliyowasha moto uwanjani shirikisho kule south?
Kama nyie mnavyoshindwa kuchomoa ule mwiko wenu huko nyuma tangu 1935?Pole sana mkuu.Ila unaweza tu kuchomoa.
Tutakapocheza na Orlando kule SouthHizo ni shirki kazi za Wachawi wa Jangwani.
Majini fc mtaacha lini kufuga hayo madude?