Kilio changu ni kitambi

Kilio changu ni kitambi

😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭

Mpe simu yako awe anaishika shika kwa wiki. Nzima ansoma msgs...huku una namba nyingine unatuma msg za kimada kwenda kwako wiki tyu utaniambia ukiona kapungua mweleze na mwonyeshe na line ulotumia ulitaka kuona upendo wake kwako

Dk Pdidy
 
muonekao wa sasa wa nabii titto hataki tena lipstick wala ushogaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240919-220358_Gallery.jpg
    Screenshot_20240919-220358_Gallery.jpg
    243.1 KB · Views: 3
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
pole,safiri nae kwa mpalange tumbo litapungua
 
Mke wangu ana mahips kidogo tako dogo baada ya kujifungua sijui nyama za tumboni zilitoka wapi asee sema nilikuwa nampigisha tizi kwa lazima mpaka akaanza kurudi mahali pake.
Huyo wako naona umechelewa.
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
wapi picha sasa!
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
Atumie konyagi inasaidia kupungua
 
Mkuu swala la uzito kwa wanawake linachangiwa na mambo mengi saana
Kuna wanawake ambao wakijifungua wakati wa kunyonyesha mwili unakuja tu wenyew wakimaliza kunyonyesha mwili wenyew unarudi mahala pake.
Kuna wanawake wanaotumia uzazi yaani hawa badala ya kuongezeka makalio ni tumbo na kifua kuongezeka huku kalio likinywea.
Na kuna wanawake ambao mambo yakianza kunyooka kwenye familia mwili huo.
Sasa ww hapo kwanza unatakiwa ujue chanzo ni nini na namna ya kukabiliana nayo.
Ila njia nzuri ni maji ya moto na limao asbh jion pamoja na mazoez kidg mbna atapungua tu
 
Hapo kama ulimtamani kwa muonekano wa zamani,utajuahujui.Komaa nae.
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
Mkeo Atumie Mwani.... Inapunguza uzito, bad cholesterol etc
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
Pole sana.
Asikate tamaa, matokeo hayaji haraka, huhitaji uvumilivu. Matokeo huja taratibu.
 
Back
Top Bottom