Mpk sasa asilimia 60 ya wanafunzi wa Kampala international university dar hawajapata boom lao....watu wamewahi kuripoti..wakapeleka account zao mapema lkn ni mizinguo tuu hakuna majibu ya kueleweka...wanachojibu oh tutaweka hawaweki..na ht wakienda bank wanapeleka majina 10-20 na wanafunzi wako 200 first year...kinachooneka ni ujenzi tu wa majengo yao..inavyoonekana ni kwamba hizo hela wanazitumia kwa matumizi binafsi...wanafunzi wamechokaaa..hawana pesa hostel zenyewe wanakaa za nje na ni expensive. .chakula..photocopy....je bodi ya mkopo HELSB inafuatiliaje kuhusu upewaji wa fedha kwa wakt maalum kwa wanafunzi wao...au Wakishaleta hela huwa hawafuatilii....this is too much...Helsb fuatilieni hili tunaomba.....watoto wanatusumbua hela za matumizi..me nishaenda mpk chuo kumuilizia kwann hawawapi hela madogo..sikupewa majibu..eti wasubiri..huu ni wizi
NI MALALAMIKO KUTOKA KWA MDGO WANGU..PLEASE HELSB FUATILIENI PESA ZENU KWA WANAFUNZI wanapewa? ?