Kilio kwa HELSB kuhusu Kampala university

tatizo vyuo navyo vinakua kama uyoga! Hv vingne matapel tu vinatumika kama saccos za kupatia mtaj
 
Huku bado ni tarehe tu watu wanapigwa kila sikuu....
Imagen december iz comin na watu hawajapat hata boom la mwanzo
 
Hiyo ki2 c mali ya M7?? C ajab kahamisha hela kusaidia m23. Sory unazungumzia Kampala university au Kampala Int University mana n vyuo viwili tofauti.
 
Hiyo ki2 c mali ya M7?? C ajab kahamisha hela kusaidia m23. Sory unazungumzia Kampala university au Kampala Int University mana n vyuo viwili tofauti.

Kampala international university
 

kampala ndo chuo gn? njoo sua hakuna ubabaishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…