KILIO LL,B!Chuo cha MUCCoBS kimewanyima makusudi pesa za field wa wanafunzi wa SHERIA(LL,B)


ndo tatizo la kusikia tetesi na kutoa jibu kuwa Mzumbe waoga.
 
nimetoka kuwasiliana na waziri wa mikopo anasema ameenda bodi ya mikopo na taarifa aliyopewa ni kwamba LOAN OFFICER wa chuo cha MUCCoBS hakupeleka majina kwa hiyo suala hili litaisha mpaka chuo kifunguliwe

Mbio za Sakafuni......
 
Ingekuwa hapa MZUMBE UNIVERSITY tungemfurusha loan officer na waziri wamikopo

wacha kudanganya watu -- wanafunzi wa mzumbe mlivyo makondoo mlishafanya riot lini??

yani ingekuwa chakula mnagawiwa nyie, kila siku mngekuwa mnalala njaa!
 
come back soon Seneta001..

you left too early my friend!! you left a remarkable change here here at ze jukwaa la elimu!

please ukija, hata kama ukija, ni PM kwa lugha maalum ya kijeshi na kiintelijensia!

otherwise naweza nikakujeruhi! lolz!
 
Last edited by a moderator:
come back soon Seneta001..

you left too early my friend!! you left a remarkable change here here at ze jukwaa la elimu!

please ukija, hata kama ukija, ni PM kwa lugha maalum ya kijeshi na kiintelijensia!

otherwise naweza nikakujeruhi! lolz!


Kafanyajee tenaaaa
 
Last edited by a moderator:
muccobs nacho chuo? Haha. Chuo cha mpigamsuli
 
Huyu jamaa atakoma kuifahamu jf na matokeo yake tunayabandika hapa.

kinachonifurahisha zaidi ni vile ameandamwa kwenye kila post. Kibaya zaidi watu wana vijembe balaa.
 

Sasa we na akili timamu kweli unaenda kusoma LL.B MUCOBS,Hauko serious
 
Jamani wa tz naomba mnisaidie kama wazanzibar wameanza vituko vya kuwa taka wabara warudi kwao hapa kuna muungano kweli sasa nasie wa matekwe tuwarudishe kwao hawa wazanzibar wanaofanya biashara za usafiriji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…