Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hongerasana mh kamishna lyimo kwa kazi nzuri...................
Naangalia itv hapa naona mamlaka yetu wamekamata madawa ya kulevya kg 3000
Kamishna lyimo amesema mtandao waliokamata n mkubwa anafurahi kuona kile walichokitafuta wamekipata
Mh lyimo anasema atapambana na mapapa mpaka huu mtandao uishe kabisa
Wale wanaouziwa kg 50 .100 wanazipata huku tukifanikiwa kukamata hawa wakubwa tutalinda sana vijana wetu
Nnakutakiaakila.La kheri mungu akulinde akuongoze na pale shetani anapotaka kupambana asifanikiwe kabisaa kunaa mitaa kinondon imejaa wala madawa ya kulevya kama vile tuko colombia
Hawa nao ukiwakamata watakupa mengi mh kamishna
Nikutakie mwakaampya mwema
Naangalia itv hapa naona mamlaka yetu wamekamata madawa ya kulevya kg 3000
Kamishna lyimo amesema mtandao waliokamata n mkubwa anafurahi kuona kile walichokitafuta wamekipata
Mh lyimo anasema atapambana na mapapa mpaka huu mtandao uishe kabisa
Wale wanaouziwa kg 50 .100 wanazipata huku tukifanikiwa kukamata hawa wakubwa tutalinda sana vijana wetu
Nnakutakiaakila.La kheri mungu akulinde akuongoze na pale shetani anapotaka kupambana asifanikiwe kabisaa kunaa mitaa kinondon imejaa wala madawa ya kulevya kama vile tuko colombia
Hawa nao ukiwakamata watakupa mengi mh kamishna
Nikutakie mwakaampya mwema